Matembezi ya kuimarisha Muungano, kuhamasisha utalii wa ndani na kupinga viashiria vya kuwagawa viongozi wa kitaifa

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
MATEMBEZI YA KUIMARISHA MUUNGANO, KUHAMASISHA UTALII WA NDANI NA KUPINGA VIASHIRIA VYA KUWAGAWA VIONGOZI WA KITAIFA

Kundi La JAMII MPYA TANZANIA likujumuisha wanachama wake zaidi ya 300 kutoka mikoa ya Tanzania Bara lafanya MATEMBEZI YA AMANI yenye jina la JAMII MPYA MUUNGANO TOUR kutoka Stesheni Posta kuelekea Bandarini tayari kuanza SAFARI kuelekea Zanzibar.

Matembezi hayo yalibeba Ujumbe wa kuimairisha Muungano, kuhamasisha utalii wa ndani na kupinga viasharia vya kuwagawa viongozi wetu wa kitaifa.

Aidha Matembezi haya yamelenga kuonyesha ni kwa kiasi Gani JAMII MPYA TANZANIA inaridhishwa na kuunga mkono mkakati wa maksudi wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kuboresha uendeshaji wa Bandari zetu ili kuleta Tija kwa Taifa kuliko ilivyo kuwa hapo awali.

Your browser is not able to display this video.
 
hizi pesa mnazotoa pelekeni madawa hospitalini, acheni kufadhili upuuzi
 
Bora Mimi naongoza waliolala siku wakiamuka wataniuliza,wewe mwenzangu unaongoza maiti.Maneno ya Mzee Jomo Kenyatta kwa J.K.Nyerere
 
Haya ni madodocha tu matembezi ya Muungano huku upande mmoja haupo.
 

[emoji15][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Tulipofikia ni mambo ya kustaajabisha🤣🤣🤣
 
Hizo ngoma Mnapiga kila mdundo ila raia hawataki kucheza.

Si muache mkafanye mambo mengine,ni lazima kuwalazimisha watu kuhusu mama kuwa ana Nia njema na bla bla za bandari?

Mmezidi Sasa.
 
 

Attachments

  • CA0E1580-7F08-4222-AC4A-634AEB793D32.jpeg
    134.4 KB · Views: 8
  • C728859A-F29B-45DA-A575-F1C0C9263E19.jpeg
    4.3 KB · Views: 6
  • 76CD93E8-FC1B-44F3-97B9-E7751F2BD9CE.jpeg
    115.9 KB · Views: 4
  • 644C7F80-1C7C-4858-BF28-C619A501DFA6.jpeg
    37.8 KB · Views: 6
  • FCFE552A-A473-4A7B-BEEB-5856507AB3D3.jpeg
    23.3 KB · Views: 9
  • 6DDDBCD6-A229-4196-AA5C-82A388518E35.jpeg
    51.3 KB · Views: 5
KUIMARISHA MUUNGANO, 🤣🤣🤣🤣
 
N
Na wanaowapinga muwe mnawaruhusu kuandamana...
 
Watanzania Tumewakataa DPW, hata mkifadhili hivi vikundi vyenu sisi tumekataa. na usalama waa taifa angalieni hili genge linalofadhili mambo haya ili kupora bandari na rasilimali zetu vinginevyo wanaliweka taifa katika mazingira magumu huko mbeleni.
 
izo picha msingebeba, picha za wazanzibar wawili afu unasema muungano, na wote marais?mngetumia akili zaidi ya hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…