Matembezi ya mshikamano CHADEMA mikoa yote.

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Matembezi haya yenye lengo la kukiimarisha chama na kuleta umoja kati ya Wanachama na makundi mbalimbali ndani ya CHADEMA.

Lengo pia ni kuunga mkono demokrasia ndani ya chama na kusapoti msimamo wa CHADEMA kuhusu katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.

Matembezi hayo yafanyike kila mkoa kwa nyakati mbalimbali.
 
 
Vibali vitatolewa?
 
Kwani tumekuambia watanzania wote tunahitaji katiba mpya sisi wana Ccm tunaitaka ile ile CCM DAIMA SAMIA MITANO
 
Wataambiwa waombe kibali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…