johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Binafsi nilimuona hayati Magufuli kama mtu mwenye matendo makali na Tundu Lisu kama mwenye maneno makali.
Naomba maoni yenu katika hili Matendo makali vs Maneno makali
Mungu ni mwema wakati wote!
Naomba maoni yenu katika hili Matendo makali vs Maneno makali
Mungu ni mwema wakati wote!