Mateso anayonipa jini mahaba

Mateso anayonipa jini mahaba

Udart

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
398
Reaction score
586
Kwema?

Naomba niende kwenye mada binafsi nasumbuliwa na jini mahaba kiukweli kama hujawahi kupitia adhabu ya haya madude unaweza kuonana kama vitu vya kufikirika

Mimi binafsi nina umri wa miaka 36 lakini kiuchumi niko kama dogo wa 20+ Yani Kila nachfanya narudishwa nyuma Hatua mia ukianzisha mahusino inatokea tu dharula unachukiwa mazima pia hata kudharauliwa Yani kama Kuna mada inazungumzwa na washikaji nikichangia mada nitatumia nguvu nyingi sana kusikilizia

Mambo ni mengi nimejarbu kuwapigia baadhi ya watumishi wananiombea lakini Hali inabaki pale pale kiukweli nimechoka na hii Hali sifanyi starehe lakini unakuta kwangu ni rahisi kukopesheka kuliko kuingiza naombeni msaada wadau nijinasue vipi kwenye huu mtego nimechoka.

Pia soma
- Rafiki yangu anasumbuliwa na jini mahaba. Je ni namna gani ya kumtoa?
 
Pole sana kwaunayo yapitia.
Tafuta kibiriti upele changanya na unga wa mkunazi,changanya na mfupa wanguruwe ulio sagwa kua unga. chemsha mafuta yakujipaka mgando ndio mazuri sio lotion.
Kisha changanya hizo dawa namafuta.
Utakua unajipaka asubuhi najioni
Litaondoka namambo yako yatafunguka vizuri.
 
Pole sana kwaunayo yapitia.
Tafuta kibiriti upele changanya na unga wa mkunazi,changanya na mfupa wanguruwe ulio sagwa kua unga. chemsha mafuta yakujipaka mgando ndio mazuri sio lotion.
Kisha changanya hizo dawa namafuta.
Utakua unajipaka asubuhi najioni
Litaondoka namambo yako yatafunguka vizuri.
Asanteh mkuu hayo mazaga unayo uniuzie maana kupata mfupa wa nguriwe uliosagwa mtihani kidgo
 
Jini mahaba linakuaje mkuu, na unajuaje ni yeye
usiku ukilala ndoto nyingi unaota unafanya mapenzi ukitafta demu anaweza kukuchukia tu baada ya mda mfupi au ukihiitaki kuwa nae pesa kwako inakuwa changamoto na ukitoka nae nguvu za kiume zinapungua mambo ya kiuchumi kwako yanayumba pesa haikaliki kuchukukiwa bila sababu kwa mwanaume baadhi nasikia yanawafanya wapende ushoga na wanawake wanaishia kusagana aisee hayo madude ombi yasikikute Kuna mda unaweza kutamani hata kujiua fikiria huna mwanamke Wala mtt lkn una madeni ambayo hayaishi na ukiangalia huna Cha maana una miliki pia Huwa yanafanya mtu udharaulike yaani unaweza kwenda sehem ukaona kabsa huyu jamaa au hawajamaa wameshanitoa point 3 Kwa kukuangalia tu...nimehangaika sana kuhusu hii issue.
 
Kwema.

Naomba niende kwenye mada binafsi nasumbuliwa na jini mahaba kiukweli kama hujawahi kupitia adhabu ya haya madude unaweza kuonana kama vitu vya kufikirika

Mimi binafsi nina umri wa miaka 36 lakini kiuchumi niko kama dogo wa 20+ Yani Kila nachfanya narudishwa nyuma Hatua mia ukianzisha mahusino inatokea tu dharula unachukiwa mazima pia hata kudharauliwa Yani kama Kuna mada inazungumzwa na washikaji nikichangia mada nitatumia nguvu nyingi sana kusikilizia

Mambo ni mengi nimejarbu kuwapigia baadhi ya watumishi wananiombea lakini Hali inabaki pale pale kiukweli nimechoka na hii Hali sifanyi starehe lakini unakuta kwangu ni rahisi kukopesheka kuliko kuingiza naombeni msaada wadau nijinasue vipi kwenye huu mtego nimechoka.

Pia soma
- Rafiki yangu anasumbuliwa na jini mahaba. Je ni namna gani ya kumtoa?
Tafuta wazee wa Surat al Jin wamrudishe nyumbani.
 
Kwema.

Naomba niende kwenye mada binafsi nasumbuliwa na jini mahaba kiukweli kama hujawahi kupitia adhabu ya haya madude unaweza kuonana kama vitu vya kufikirika

Mimi binafsi nina umri wa miaka 36 lakini kiuchumi niko kama dogo wa 20+ Yani Kila nachfanya narudishwa nyuma Hatua mia ukianzisha mahusino inatokea tu dharula unachukiwa mazima pia hata kudharauliwa Yani kama Kuna mada inazungumzwa na washikaji nikichangia mada nitatumia nguvu nyingi sana kusikilizia

Mambo ni mengi nimejarbu kuwapigia baadhi ya watumishi wananiombea lakini Hali inabaki pale pale kiukweli nimechoka na hii Hali sifanyi starehe lakini unakuta kwangu ni rahisi kukopesheka kuliko kuingiza naombeni msaada wadau nijinasue vipi kwenye huu mtego nimechoka.

Pia soma
- Rafiki yangu anasumbuliwa na jini mahaba. Je ni namna gani ya kumtoa?
Chumvi ya mawe ile acha nisiseme mengi ila ogea chumvi ya mawe huku ukinuia aondoke katika maisha yako baasi mengine utapigwa kibunda tu
 
usiku ukilala ndoto nyingi unaota unafanya mapenzi ukitafta demu anaweza kukuchukia tu baada ya mda mfupi au ukihiitaki kuwa nae pesa kwako inakuwa changamoto na ukitoka nae nguvu za kiume zinapungua mambo ya kiuchumi kwako yanayumba pesa haikaliki kuchukukiwa bila sababu kwa mwanaume baadhi nasikia yanawafanya wapende ushoga na wanawake wanaishia kusagana aisee hayo madude ombi yasikikute Kuna mda unaweza kutamani hata kujiua fikiria huna mwanamke Wala mtt lkn una madeni ambayo hayaishi na ukiangalia huna Cha maana una miliki pia Huwa yanafanya mtu udharaulike yaani unaweza kwenda sehem ukaona kabsa huyu jamaa au hawajamaa wameshanitoa point 3 Kwa kukuangalia tu...nimehangaika sana kuhusu hii issue.
Vipi kuhusu mavazi yako Na muonekane wako kaka?.....Mimi shida niliyonayo Huwa ni kuogopwa Na watu... asilimia kubwa wengi hudhania Mimi ni mpelelezi au watu wa usalama wa taifa😀😀, nikiingia kwenye kumbi za starehe napendelea kujitenga Na kukaa peke yangu, mavazi yangu Huwa napendelea kuvaa shati Na jeans au tisheti Na jeans muda mwingine Huwa najilipua Na Kaunda suti dark blue,..nikienda kule vijijini usukumani wasukuma wengi huniita tapeli, lakini nikiwa mjini naonekana wa maana sana kutokana Na uvaaji wangu Na style yangu ya maisha ya kujitenga... nicheki inbox kuna kitu naweza kukushauri
 
Hakuna huo upuuzi suala la kufanya mapenzi ni subconscious mind ubongo una kawaida ya kuendelea kufanya kazi ukiwa umelala ni km tape ya cassette iliyowekwa pause ukiwa umelala ukiwa kwenye deep sleep ubongo unakuchagulia tape ya kuplay kisha ubongo inabonyeza play ndio hapo km ulitunza memory ulipokua unasex
 
usiku ukilala ndoto nyingi unaota unafanya mapenzi ukitafta demu anaweza kukuchukia tu baada ya mda mfupi au ukihiitaki kuwa nae pesa kwako inakuwa changamoto na ukitoka nae nguvu za kiume zinapungua mambo ya kiuchumi kwako yanayumba pesa haikaliki kuchukukiwa bila sababu kwa mwanaume baadhi nasikia yanawafanya wapende ushoga na wanawake wanaishia kusagana aisee hayo madude ombi yasikikute Kuna mda unaweza kutamani hata kujiua fikiria huna mwanamke Wala mtt lkn una madeni ambayo hayaishi na ukiangalia huna Cha maana una miliki pia Huwa yanafanya mtu udharaulike yaani unaweza kwenda sehem ukaona kabsa huyu jamaa au hawajamaa wameshanitoa point 3 Kwa kukuangalia tu...nimehangaika sana kuhusu hii issue.
Duh pole sana mkuu, kwa maelezo hayo hiyo ni changamoto sana.
Pambana kutafuta suluhu mkuu, kila la kheri

Mi nilijuaga jini anakutokea kama vile kwenye movie aisee
 
Back
Top Bottom