Mateso ya Jackline Wolper

Anyone can cry infront of a camera especially when you're looking for sympathy and stuff like that....hajanikamata bado
Tusubiri part II next monday
 
Jana wamemzomea mashemiji zake mtwara mpaka amekoma kuringa ndani ya club makonde
 
Et alikuwa anatambulishwa kwenye show ya ngamia wake wakat watu wamelipa vyao
 
Sasa wabaya wake watafanya kila jinsi wazipate hizo picha kwa Mkongo. Mamuonea huruma zikitema
 
Mapenzi sio umri bana Wolper kama kapenda yuko huru hayo ni maisha yake binafsi , mbona hamshangai mwanaume kuwa na mwanamke mdogo , sasa dunia ya sasa tupo free kifikra tusiishi kukalilishwa eti kupenda mtu anayekuzidi umri ni umalaya au tabia mbaya
 
Kaulizwa vipi kuhusu wewe kuwahi kudoka na D, na leo hii unatoka na dogo ambaye anasimamiwa na D, akasema D kwa sasa ni Baba Mkwe!
 
mademu wa bongo movie kichwani walitoa ubongo wakaweka mkojo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…