Matha na Beatrice Mwaipaja-NIKO HAPA

Matha na Beatrice Mwaipaja-NIKO HAPA

swagazetu

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
4,250
Reaction score
1,470
Ni kweli wanaimba injili lakini katika toleo hili naona kuna kilichojificha.Matha ameolewa Ok lakini katika wimbo wa pili kwa sehemu kubwa Mdogo wake Beatrice ametumia kuonesha umbile lake kwenye kamera gauni limembana sana.Nadhani kisaikolojia haitavutia walioKiroho.

Lakn pia wimbo wa kwanza nashindwa kuelewa wanafuata key gani maana wimbo na key tofauti utadhani wanaghani kama Mrisho Mpoto.
 
Hao ni wafanyabiashara tu mkuu, wewe kama ulidhani wanaimba kwa imaya ya kwamba ni 'Nyimbo za kiroho' sahau kuanzia sasa.
 
wewe sikiliza wimbo usiangalie shape mana itakuumiza macho
 
Kusema ukweli pesa inanunua urembo,huyu binti alivyokuwa anatoka na albam ya kwanza alikuwa kama ngongoti fulani lakini kwenye hii mpya anaonekana mtamu!
 
Nitautafuta huo wimbo nijionee kinachosemwa.
 
Nadhani hii ni promo ya kijanja janja...! Ndiyo maana mleta mada hajaleta ushahidi wa kutosha hapa jukwaani...!
 
Back
Top Bottom