Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnamsaka nyie kama nani?bado tunaendelea kumsaka rais wetu aliyeko mafichoni pasipo na sababu.
wananchi wazalendoMnamsaka nyie kama nani?
naomba usitutoe kwenye reli plzHahaha,
Tangu story ya Magu liibuke mibongolala imeshinda ikifungua nyuzi zizizoeleweka just to divert attention. Desperation ni mbaya nanibado tunaendelea kumsaka rais wetu aliyeko mafichoni pasipo na sababu.
MkuuHivi hii Kenya ni Nchi au ni Genge la wahuni,
Imagine unaletewa majamaa na mapanga na Visu kukudai kodi ma Serikali ipo..
Failed state, hovyo kabisa
Kelele za chura hizi, kwani kuna siku hata moja umesikia kwamba rais Uhuru Kenyatta amefika kwenye hospitali za Tanzania kutibiwa? Au kwamba kwenye mida hii ya janga la COVID-19 kuna mkenya ambaye amepandishwa kwenye pipa la AMREF kwa dharula ili aje Tz kupiga nyungu?Hahah, I see how Kenyans are obsessed with Tanzania,
In Tz no one cares about the drunkard fellow and what he does.
View attachment 1724680
Wamechanganyikiwa sana na wana hasira na wakenya utadhani sisi ndio tulimuambukiza virusi mzee wao yule 'kiboko' cha COVID-19 na 'mabeberu'. Hawa mataga wana matatizo ya akili, sio bure.Tangu story ya Magu liibuke mibongolala imeshinda ikifungua nyuzi zizizoeleweka just to divert attention. Desperation ni mbaya nani
Yani wamejaa hasira Ni kama sisi ndio tuliwadanganya hakuna coronaWamechanganyikiwa sana na wana hasira na wakenya utadhani sisi ndio tulimuambukiza virusi mzee wao yule 'kiboko' cha COVID-19 na 'mabeberu'. Hawa mataga wana matatizo ya akili, sio bure.
Hahaha, eti airlifted to Nairobi sijui Amref and all the covid Madness,Kelele za chura hizi, kwani kuna siku hata moja umesikia kwamba rais Uhuru Kenyatta amefika kwenye hospitali za Tanzania kutibiwa? Au kwamba kwenye mida hii ya janga la COVID-19 kuna mkenya ambaye amepandishwa kwenye pipa la AMREF kwa dharula ili aje Tz kupiga nyungu?