MATHARE SLUM NAIROBI- Kutana na Kikundi cha Kihalifu(Gangs) kinachofanya kazi ya Kudai kodi kwa wafiwa sugu

Tangu story ya Magu liibuke mibongolala imeshinda ikifungua nyuzi zizizoeleweka just to divert attention. Desperation ni mbaya nani
Divert whose attention, ya wakenya wa huko Twitter desperate to see a dead magufuli, you guys I never knew mko na ufara kiasi hicho, mara Nairobi, India, sasa hivi amekufa, na mna mreplace kabisa, wa$engerema next level.
Mshajiaibisha na mmechokoza, puppet state, mtajua hamjui kwann anaitwa jiwe.
 
Wamechanganyikiwa sana na wana hasira na wakenya utadhani sisi ndio tulimuambukiza virusi mzee wao yule 'kiboko' cha COVID-19 na 'mabeberu'. Hawa mataga wana matatizo ya akili, sio bure.
We fara una evidence anaugua korona au alifika Kenya, obbo yule anasema alikosea hakufika Nairobi, ww bado upo na ndoto alifika Nairobi, yani nchi zote duniani magu aje tibiwa Kenya, nyie mafara sana
 
Mbona simpo tu...Muonesheni Jiwe alipo hata ka clip cha sekunde 5 ...halafu mfungulieni mashtaka sarungi[emoji16][emoji16][emoji16]
hahaha.... aisee, arosto mbaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…