Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Ndugu zangu
Kuna tuhuma kwamba wagonjwa wanaopelekwa nchi za nje kwa ajili ya
matatibu haswa kwa njia ya misaada huwa wanan'golewa viungo vyao kama
figo na vingine kwa visingizio kwamba viungo hivyo ni vibovu .
Mfano halisi ni wa mama mmoja ambaye aliambiwa figo yake ni mbovu Hapa
Tz akatakiwa kwenda Kanada kwa matibabu hayo bure alipofika huko siku
ya kufanyiwa upasuaji yule daktari hakufika kwa bahati nzuri
aliyeingia zamu akamwambia hakuwa na tatizo la figo kama ingeendelea
ina maana figo yake ingebadilishwa .
Uchunguzi Bado unaendelea lakini habari hizi ni za kusikitisha na
kutisha sana napenda kumwomba Dr Mabula ambaye amewahi kuweka Tangazo
la kutaka watoto kwenda kutibiwa Nchini Kanada Kwenye Mtandao huu na
mengine atupe ufafanuzi kidogo Jinsi wao wanavyofanya .
Jamani nimeletewa hii habari kwenye Email yangu.Nawaomba muichunguze kwa makini Je ni ya kweli? au Uongo?
Kuna tuhuma kwamba wagonjwa wanaopelekwa nchi za nje kwa ajili ya
matatibu haswa kwa njia ya misaada huwa wanan'golewa viungo vyao kama
figo na vingine kwa visingizio kwamba viungo hivyo ni vibovu .
Mfano halisi ni wa mama mmoja ambaye aliambiwa figo yake ni mbovu Hapa
Tz akatakiwa kwenda Kanada kwa matibabu hayo bure alipofika huko siku
ya kufanyiwa upasuaji yule daktari hakufika kwa bahati nzuri
aliyeingia zamu akamwambia hakuwa na tatizo la figo kama ingeendelea
ina maana figo yake ingebadilishwa .
Uchunguzi Bado unaendelea lakini habari hizi ni za kusikitisha na
kutisha sana napenda kumwomba Dr Mabula ambaye amewahi kuweka Tangazo
la kutaka watoto kwenda kutibiwa Nchini Kanada Kwenye Mtandao huu na
mengine atupe ufafanuzi kidogo Jinsi wao wanavyofanya .
Jamani nimeletewa hii habari kwenye Email yangu.Nawaomba muichunguze kwa makini Je ni ya kweli? au Uongo?