Matibabu ya kisaikolojia yanakutumia muda gani mtu hadi kupona?

Matibabu ya kisaikolojia yanakutumia muda gani mtu hadi kupona?

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Nataka kujua hivi matibabu ya kisaikolojia yanamchumkua muda gani muathirika kupona?.

Je yanaweza kutumia miezi 3???

Psychological problem can lapse for 3 weeks only, why some are taking too long??
 
Nataka kujua hivi matibabu ya kisaikolojia yanamchumkua muda gani muathirika kupona?.

Je yanaweza kutumia miezi 3???

Psychological problem can lapse for 3 weeks only, why some are taking too long??
Acha umbea,,,mmekalia fitna tuu
 
Kuhusu yule dereva siku hizi hata haonekani kwenye selfie za wageni waendao kumwona lissu ameshatimiza malengo yake ya kijasusi amekula kona!
 
Hata miaka 10 inategemeana na mgonjwa mfano dereva akishuhudia boss wake akipigwa risasi yaweza chukua muda mpaka boss wake apone pia
 
Inategemea, matibabu ya kisaikolojia ni matibabu ambayo yanahusisha akili ya mwanadamu. Akili ya mwanadamu inafanya kazi ya kufikiri (Thinking), kutazama mambo (Perceiving) na kuamua (Deciding). Sasa endapo mtu akipata tatizo Fulani ambalo likaathiri hayo mambo matatu atahitaji afanyiwe restoration (Marekebisho) ya akili yake, kazi ambayo ni ngumu sana. Hebu chukulia mfano wa MTU aliyeachana na mchumba wake versus MTU aliyefiwa na mke/mume wake kipenzi, watu Hawa wawili watakuwa na uzito tofauti wa matatizo yao ya kisaikolojia, tiba ya kisaikolojia ni tofauti na tiba ya (Medicine) ambapo MTU anaweza kunywa dawa kwa maelekezo ya muda Fulani. Lakini kwenye tiba ya kisaikolojia inategemea na uamuzi wa MTU mwenyewe kukubaliana na hali inayomsumbua au kutokukubaliana (Denial). Kwa hiyo hakuna time frame katika matibabu ya kisaikolojia ila kuna muda wa matazamio.
 
Back
Top Bottom