Matibabu ya Mguu kupinda

msakhara

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2019
Posts
277
Reaction score
381
Habari wakuu...
Kuna mpwa wangu anamiaka miwili. Tangu ajifunze kutembea naona mguu mmoja anaunyanyua kwa tabu tofauti na mguu wa kushoto.
Tulienda naye ccbrt ili kumcheck, majibu yakaja ni kwa sababu ana flatfoot hivyo akashauriwa atumie viatu (shosoles ) zenye arch support.
Baadaye tukaenda kwenye kituo cha afya cha MAMA MKASI(baada ya ushauri wa majirani).
akamcheki physically akasema mifupa yake ni mikavu kutokana na chanjo alizopewa akiwa mtoto.
Tumepata dilemma, lipi linaweza kuwa chanzo cha hiyo defect?
Tunaweza itibu vipi?
Ni wapi tunaweza pata daktari wa uhakika wa jambo hilo kwa hapa dar es salaam?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…