Matiti ni Mali ya nani?

Bajabiri kuna kipindi mtu anavutwa na kung'ang'aniwa sasa sijui muda wa kuomba ruhusa sijui unapatikana saa ngapi

inawapasa watengeneze vibali vya kunyonyea maziwa viitwe suck permit,,,,au suala la mwanaume kunyonya ze chuchuz au lah,,,liwekwe kwebye katiba mpya
 
Last edited by a moderator:
jitahidi kunyonyesha dadangu,,,,kama ya kulala yatala tu,,,maziwa ya mama yana faida sana,,,,,kama ulinyonyeshwa nawe nyonyesha

nope,sorry,watu kibao wamekuwa wakubwa bila kunyonyeshwa...
 
nope,sorry,watu kibao wamekuwa wakubwa bila kunyonyeshwa...

si kwamba hawakui,,,,,sijaandika kuwa hawakui,,,,,ila naamini unajua umuhim wa kunyonyesha,,,,no matter una mtoto au lah,,,pia napata picha kuwa huenda hujazaa ndo maana unapiga porojo,,,,,
 
Matiti sio mali ni kiungo tuu kama mguu, mkono au kichwa


Sikuwa na lengo la kuchangia mkuu manyani kilichopelekea mimi kuchangia ni hili jina lako,nitashukuru kama utanieleza japo kwa kifupi kisa cha kutumia jina hilo maana nyani ni mnyama anayenifurahisha sana.Sasa wewe umetumia ma ukimaanisha kundi la nyani...
 
Last edited by a moderator:
mie yangu ni mali yangu ila kwa kuwa yakishikwa yananipa raha,nadhani tuko 50 -50 ownership na mume,lol sitanyonyesha so mtoto hana chake....:A S cry:
Afazali wewe hadi namuonea wivu mumeo
 
mie yangu ni mali yangu ila kwa kuwa yakishikwa yananipa raha,nadhani tuko 50 -50 ownership na mume,lol sitanyonyesha so mtoto hana chake....:A S cry:

huto mtendea haki mwanao!
 
Matiti ni mali ya mme mana kisha yalipia mahari...Akiyanyonya sawa, akiyashika shika sawa akiyauma uma sawa akiyabinya binya swa.

safi sana maana ni wachache wanajua hilo!
 

yan kunyonya tu na kushika si ndio matumizi yenyewe?
Sidhani kama ni kucontrol, maana hata wanawake wana fanya hivyo kwa uume pia.

Sioni kama kuna shida.
 
nope,sorry,watu kibao wamekuwa wakubwa bila kunyonyeshwa...

Neema unaogopa yatalala.... hahaha bin adamu tuazeeka kulala ya talala tu .. mpe mtoto haki yake ... virutubisho vya ziwa la mama nitofauti na haya ya kutengenewa viwandani ...
 
Neema unaogopa yatalala.... hahaha bin adamu tuazeeka kulala ya talala tu .. mpe mtoto haki yake ... virutubisho vya ziwa la mama nitofauti na haya ya kutengenewa viwandani ...

tell her,,,,anaogooooopa MEWATA italala
 
Nipples sexually speaking are erogenous zone ie sensitive to sexual stimulation. Swali, je mtoto anaponyonya mama husikia utam tam? Forgive my curiosity.
 
Huwa sipendi kutoa siri za dani lakini naona kama umeisha jua nacho kifanya.

ni jambo la busara sana,ambalo vijana wengi LINAWASHINDA NA LITAWASHINDA,WAKIUME NA WA KIKE,WENGI HUTOA SIRI ZA ndani,binafsi maboobs nayapenda sana,,,the best organ which i admire kwa female ni breast,,,,hope asbui iko poa,,,,,
 
Nipples sexually speaking are erogenous zone ie sensitive to sexual stimulation. Swali, je mtoto anaponyonya mama husikia utam tam? Forgive my curiosity.

mama salma aliwah kuwaonya wanawake wanaokataa kunyonyesha eti kwa kisingizio kuwa WATOTO WANAPONYONYA HUWATEKENYA,,,,,,,,
so huenda wakawa wanahisi raha,,,,ila kuna wakat chanel ten waliwah kuripot kuwa huko mkoani KIGOMA kuna baadhi ya jamii zimewaiga waburundi ambao hugawana ziwa na mtoto,mfano ziwa la kushoto ni la mtoto la kulia ni la baba,,,,,,kila mtu ananyonya la kwake
 
Matiti sio mali ni kiungo tuu kama mguu, mkono au kichwa

sasa viungo huwa mali ya nani??maana hata mkono wa albino ukikatwa what next???mtuhumiwa atalaumiwa kwa kukata mkono wa albino
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…