Matiti ni mali ya nani?

Na bado nipo(hakuna cha ban wala nini)....natesa kama JF mali yangu.....hahahahahaaa.......biti zingine bana...so so elementary
 
Nilikuwa nimeenda kumsikiliza mkwere kama atanipa uwaziri nimekwama kwahiyo nimeamua kurudi

aaa bwana pole sana yaani
ila usijali kwasababu utakuwa Waziri wetuu hapa
kwa miaka yote inayokuja.....:A S crown-1:
vipi mambo mengine ??
sisi bado tunagombaniana matiti ni mali ya nani.. lol
 
aaa bwana pole sana yaani
ila usijali kwasababu utakuwa Waziri wetuu hapa
kwa miaka yote inayokuja.....:A S crown-1:
vipi mambo mengine ??
sisi bado tunagombaniana matiti ni mali ya nani.. lol

Naona Babu anasisitiza kuwa ni mali yake anazeeka vibaya kila kitu ni mali yake hadi vya wa wajukuu ni mali yake
 
Naona Babu anasisitiza kuwa ni mali yake anazeeka vibaya kila kitu ni mali yake hadi vya wa wajukuu ni mali yake

borea hata umerudi muheshimiwa unisaidie kidogo..
maana naona babu zimeanza kumruka kidogo....
tulisha kubaliana fresh lakini sasa naona kasahau tena.
 
borea hata umerudi muheshimiwa unisaidie kidogo..
maana naona babu zimeanza kumruka kidogo....
tulisha kubaliana fresh lakini sasa naona kasahau tena.

Naona Babu anataka kuwa kama Mswati sasa anataka kumiliki kila kitu naogopa hata kuoa asije akasema matiti ya mke wangu ni mali yake pia lol!!!
 
Sijawahi kumchunguza kama hana meno leo itabidi nikae nae ili nimuone vizuri

aha bwana usijenifanya nirudi nyumbani bwana..
nimekuachia kazi ya kumtunza babu ...
halafu hujui hata hana meno....
mpaka mjirani wananiambia .. hivi kweli..
ndo maana akili zinamruka lol
 
aha bwana usijenifanya nirudi nyumbani bwana..
nimekuachia kazi ya kumtunza babu ...
halafu hujui hata hana meno....
mpaka mjirani wananiambia .. hivi kweli..
ndo maana akili zinamruka lol

Unajua hadi umri alionao babu bado anaruka majoka anakimbizana na vibinti vidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…