Matiti ni mali ya nani?

swali gumu mmmmmmmhhhhhhhhh mali ya shiria.. :grouphug:
 
Hivi kwani we unayo? Si umezaliwa jana tu?

We una nyonyo, huna maziwa. Sore kama babu amekukwaza....

aaaaahhhhh babu najua umezeeka lakini nilikuwa sijajua kama na akili imesha anza kupotea.......
babu kwani hukumbuki nilizaliwa miaka mingi iliyopita sik kama ya jana.....
umesahau kipindikile nilivyokuwa mdogo ulikuwa unanipigiaga hadithi jikoni wakati tunachoma mihogo...
yaani na huzunika sana kusikia babu ameanza kupoteza akili.......
usiniambie umesahau jana nilikuwa nakukata kucha...
hahahahah lol
 

Uzee mbaya sana. Nisamehe kajukuu.

Vipi katukuu kanaendeleaje? Hebu nambie katukuu kakinyonya maziwa yako unapata hisia kama akinyonya baba yake? Mbona unakuwa huguni kwa mahaba? Kama si sawa, nini kinasababisha tofauti hiyo wakati temperecha ya mdomo na ulaini wa ulimi ni almost ule ule? Babu anataka kujua, samahani kama amekukwaza.
 
Dah.....kumbe matiti ni mali??? hapa wajasiliamali watanielewa...
 


mmmmmmmmmmhhhhhhh babu bado huna mjukuu babu ... inabidi nirudi nyumbani kukutunza babu maaana na ona zinazidi kuku ruka sana babu....
siku wajukuu wakija nitakuulezea...
lakini hata hivyo mmmmhhhhhh sijui kama watoto watafanya kanzi nzuri kama baba yao..
kwa sababu baba anajua jinsi ya kui treat....(will explain later)
na wasiwasi wajukuu watakuwa wanavuta tu...
 
Babu watoto wako wote wamezaa wajukuu wa kike? :bump:
 
Ni mali ya watoto!!baba hunyonya tu watoto wanapokuwa wakubwa!!
 

Kwa hiyo umekonkludi kuwa matiti ni mali ya babu, siyo?
 
Hii thread bana aaah....kama "yule modereta" hataihamisha na kuipeleka kwa wakubwa sitashangaa ikifikisha hata kurasa kumi
 


heheheeeeeeeeeeee dady umeamkia wapi leo mwe nimechekaje hivi hujui humu kuna watoto na wajukuu kwikwikwi

matiti ni mali ya mtoto
 
heheheeeeeeeeeeee dady umeamkia wapi leo mwe nimechekaje hivi hujui humu kuna watoto na wajukuu kwikwikwi

matiti ni mali ya mtoto

halafu na wewe una kesi ya kujibu
 
heheheeeeeeeeeeee dady umeamkia wapi leo mwe nimechekaje hivi hujui humu kuna watoto na wajukuu kwikwikwi

matiti ni mali ya mtoto

Matty...tofauti kati ya titi, chuchu, ziwa, nyonyo, nido ni zipi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…