Isije ika wa mara ya mwisho kuyashikashika alifanya kama anakamua ya ng'ombe..Habari
Nina tatizo la matiti {yote mawili} kuhisi yamekuwa mazito na yanauma kwa kuvuta na kuacha..nikivua braa nahisi yanadondoka kwa maumivu ninayopata. Nilidhani ni kawaida ila mbona hayaponi...ni tatizo au ni mfumo tu wa hormones umebadilika pia nikiminya minya nahis maumivu na wakati wa kuoga shurti nioge kwa adabu nikigusa vibaya naweza hata kulia.
Ushauri tafadhali
NB: Siku ya 4 sasa
Sina ujauzito na wala sipo kwenye ovulation
Mzunguko wangu ni mrefu wa siku 30
Mhhh hapana mbali sana,last week ndo nimemaliza
Mhhh hapana mbali sana,last week ndo nimemaliza
Mhhh hapana mbali sana,last week ndo nimemaliza
Yap ni kweli nipo kwenye twenties...ina mana unataka kusema kua ni kawaida nisiwe na wasi?Na kwa aina ya maumivu uliyonayo, pasi na shaka utakuwa na umri chini ya 30...
Maana aina hii ya maumivu pia hugawanyika kulingana na umri wa mwanamama...
Okay,
Wanawake wengi nadhani huwa wanakutwa na hali kama yako...
Ni maumivu ambayo hufanana kwa kiasi fulani na vile matiti huuma kabla au baada kidogo ya menstruation
Pia hali hiyo hutokea siku chache baada ya mwanamke kupata ujauzito, yaani pengine kuanzia siku 5 au zaidi...
Kwa kawaida hiyo hali huitwa mastalgia na huweza kuja kufuatana na mtiririko wa mzunguko wenu wa mwezi au lah...
Sababu kubwa ni mabadiliko ya umwagaji wa vichocheo "hormones" ndani ya mwili...
Asante kwa ushauri mamiiiItakua changes za hormones tu. Hata mm wakati mwengn hinitokea ivo, lkn nimepeleleza hua ni dalili za period hata kama bado kwa wk 2. Yanauma kwa kweli, basi ukivua sidiria ndo unaupata utamu haswa. Ila km una wsws nenda kamuone Dr kwa ushauri zaid
Mi nipo serious, najaribu ku-explore possible reasons.... Sasa wewe kama una sababu halisi si useme ili uwasaidie wengine..??Be serious please
Yap ni kweli nipo kwenye twenties...ina mana unataka kusema kua ni kawaida nisiwe na wasi?
Thank in advance watu8...so itaisha tu yenyewe,eti?
Usijali itaondoka...pia jaribu kutazama na mwezi unaofuata na mwingine pia.
Nimejaribu kukutafutia article nyepesi kueleweka, labda usome kwenye hii article hapa chini(ipo kwa lugha ya Kiingereza)
Good-Bye Breast Tenderness: 7 Natural Treatments You Can Count On - Aviva Romm
Sababu hakuna mpendwa na ndo mana nimejitahidi kujieleza kwa madaktari
Habari
Nina tatizo la matiti {yote mawili} kuhisi yamekuwa mazito na yanauma kwa kuvuta na kuacha..nikivua braa nahisi yanadondoka kwa maumivu ninayopata. Nilidhani ni kawaida ila mbona hayaponi...ni tatizo au ni mfumo tu wa hormones umebadilika pia nikiminya minya nahis maumivu na wakati wa kuoga shurti nioge kwa adabu nikigusa vibaya naweza hata kulia.
Ushauri tafadhali
NB: Siku ya 4 sasa
Sina ujauzito na wala sipo kwenye ovulation
Mzunguko wangu ni mrefu wa siku 30