matoke kidato cha sita~2O13

Ability4real

New Member
Joined
May 21, 2013
Posts
3
Reaction score
2
Matokeo ya Kidato Cha sita waliomaliza mitihani yao mwezi februari mwaka huu,Yanatarajiwa kutolewa rasmi kesho kwa Mujibu wa taarifa zilizotufikia toka chanzo chetu cha habari Kutoka Baraza la mitihani la Taifa~NECTA.Hizi ni habari zilizo tufikia hivi punde
 
this time jana pia kulikuwa na posti kama yako
"chanzo cha kuaminika" kuwa matokeo ya fom foo yanatoka leo jumatatu.
Hebu tusubiri chanzo chako.
 
Hadi wasikie watoto wa watu wameangua na pressure ndo utawaona hao kwenye media kutoa matokeo! aya subirini mnachotaka.....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…