Matokeo 2012

Zuia Sayayi

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
841
Reaction score
134
Matokeo nackia yameungua na kwa sasa wanatafuta namna ya kuya buni ili wayatoe feki watangalia continous assesment. Za shulen kwao
 
Sijui umesikia kwa nani hizo taarifa, jamani kama huna data za kutosha unatulia!! siyo kutoa taarifa zisizo na mashiko.
 
Sijui umesikia kwa nani hizo taarifa, jamani kama huna data za kutosha unatulia!! siyo kutoa taarifa zisizo na mashiko.

nimeambiwa na jamaa 1 hv, yuko pale baraza cheo chake ni Afisa habari wa baraza lkn ni siri.
 
Kwani matokeo hayo yalikuwa yanapikwa yakaungua au ofisi zimeungua au pcs zimeungua na shoti ya umeme au ni vipi? ungeleta source ya kuungua tungeamini lkn kama hakuna sbb inawezekana ni funga sumaku na kamba, usiwadanganye wadanganyika wakati wameamka kwenye vono la uongo tunaamini real sources.
 
Jmn tatzo lenu hamfikilii, wengi wenu mnafikiri ni matokeo ya form4 co ni matokeo ya usaili wa pale baraza kwa cc tuliokuwa cnaomba kaz pale.!
 
Labda walikuwa wanacook matokea wakajikuta wameyachoma kweli,,, lol
 
Hey guyz iz batter 2 stop 2 cömment about bitch post hav a nic day ma pp's.
 
Matokeo yanatangazwa kesho,but mwaka huu boys wamefunka ile mbya in the top10
 
Yapo vp?Hivi haya matokeo ni ya wa2 wote au bnfs?
Km n y wt 2subiri necta ita2jurisha 2ache brah brah.
 
Gd night all of u.And wait results of o level how ppl increase and decrease in performance.
 
inashangaza baraza wamepiga cm shuleni kwety wakiomba tuwatumie continous assesment za fom 4 2011 kesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…