Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu watu hata hawazimii. Lakini wale bleach fc bao 4 tu watu wakazimia🤣🤣🤣
Disclaimer
Naomba nisihusishwe na kipigo cha Mwaka 1998.
Halafu kumbe Mnyama ndio pekee ametoka vipigo vikali vya hivi karibuni, au tuseme mwaka jana na Mwaka huu. Watu mna siri!
Hii risala unamwandikia nani. Punguza maneno weka namba chache tu, ngapi ngapiFaraja nakutafuta hauonekani, faraja nakuita faraja. Baada ya wimbo wa CAF ni kwa wakubwa makundi hamfiki, baada ya kufika makundi wimbo ukabadilika. Mtakuwa wa mwisho kwenye kundi lenu hamtoboi mbele ya Belouizdad, Al Ahly na Medeama. Yanga imeingia robo fainali sasa wimbo unabadilika inatafutwa habari za nyuma, mara Simba imetoa kipigo vizito. Sasa unatoa kipigo kizito mwenzio anashinda ushindi mwembamba na anacheza fainali au kuchukua kombe je nani wa kujisifia hapo?
Kila msimu mnagotea hapo hapo na kujisifia ujinga.
Kumbe Yanga wamoView attachment 2923886
Kumbe hapo zamani Uto alishawahi pigwa 6-0 kwenye hatua ya makundi ?