Matokeo darasa la saba-swali kwa waziri

Matokeo darasa la saba-swali kwa waziri

Mkombozi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2008
Posts
844
Reaction score
476
Wengi kama tulivyosikia matokeo ya Darasa la saba yametoka.Kati ya waliofanya laki 8 ni laki 4 wamefaulu,kati ya waliofaulu pia watachaguliwa wachache kujiunga kidato cha kwanza.Waziri ajibu hao laki nne hawakufaulu waende wapi?Ajibu hili swali kiufasa zaidi bila kuweka siasa
 
Hivi haya matokeo yameshabandikwa mashuleni, au wapi yanaonekana?
 
Back
Top Bottom