Matokeo Form 4: Je, NECTA imewahujumu Wazanzibari?

Status
Not open for further replies.
..nilikuwa kule mzalendo.net nikakutana na malalamiko ya waZNZ kuhusu matokeo ya form 4.




Kama huyu mlalamikaji ndo msomi/mzazi wa zanzibar basi tutarajie jamii ya wa wajinga namba moja duniani kutokea hapo zanzibar.
Mtoto anapofaulu mtihani kwa kuibia ni kujidanganya yeye mwenyewe, watoto wanaolelewa na wazazi wenye mitazamo kama ya huyu mlalamikaji wa zenji hupelekea kuzalisha kizazi cha wajinga ambao watazidi kuifanya zenji kubaki nyuma kitaaluma milele.
Mtoto asiyejisomea kwa jitihada hawezi kufaulu, na mtoto anayejisomea hawezi kupoteza muda wake kuingia na FUTUHI kwenye chumba cha mtihani.
Ni dhahiri mlalamikaji huyu wa zenji anatetea uovu kwa kutumia kivuli cha UISLAM bila kujua kuwa kwa kufanya hivi ni kuzidi kujididimiza kifikra yeye kama yeye pamoja na watoto wa kiislam (regadless of their religious belief) anaowatetea kwa hoja dhaifu za kutafutiza huruma za wananchi kwa kutumia dini.
Otherwise ni ngumu sana mtoto kufaulu kama mda mwingi ataupoteza kufanya maandamano ya kushinikiza uongozi wa shule kujenga msikiti shuleni hapo badala ya kuconcetrate na masomo.
 
Shule nyingi za Zanzibar zimepewa alama ya W.

kwa mfano
S3000 MAZIZINI ISLAMIC SECONDARY SCHOOL DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 1 DIV-IV = 0 FLD = 0 . hawa ni zaidi ya

wanafunzi 51.



Shule inayoapakana majengo , Skuli ya Kiembe Samaki Hakuna W. kina F na D.

Mikunguni, kati ya wanafunzi 42, 5 tu walionekana wameletewa matokeo yao .

Shule ya Jangombe kati ya wanafunzi 176 , 53 wameletewa matokeo yao ya alama za D na F huku mengine yakindikwa (W) .


Shule ya Jangombe ipo karibu na Kidongochekundu ambayo haina W


Shule ya High View ,kati ya wanafunzi 78 , 9 tuShule ya Laureate ni wanafunzi 2 kati 48 . Hizi shule mbili zipo pua na mdomo na Shule ya Chukwani ambayo hakuna aliepewa W.kuna F za kumwaga.


S1352 SUFA SECONDARY SCHOOL DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 5 FLD = 2 kati ya wanafunzi 40, 7 ndio nacte imewaachia.

Hii imepakana na Mwanakekwe C ambayo haina W hata moja


. Shule ya Hamani kati ya wanafunzi 176 wanafunzi 14. shule hii ipo pua na mdomo na shule ya Benbella, haile salas, vikokotoni na Tumekuja hizi zote hakuna W


. Bilali Seminary ni wanafunzi 4, kati ya 46 ndio waliokoswa kubakwa na NECTA. waliobaki ni D na F. shule hii ipo pua na mdomo na Shule ya Nyerere ambayo haina W, imejaa D na F


Shule za Zanzibar zote zipo karibu sana.wanafunzi wanaishi pamoja, wanadurusu pamoja


. Kwa hali ya kawaida inaonyesha mtihani umevuja tena umevuja kupindukia. MTIHANI UNATUNGWA BARA. NA KAMA UMEVUJA ZANZIBAR BASI HATA DAR UMEFIKA, HATA IRINGA NA TABORA UMEFIKA.LKN ZANZIBAR IMETOLOEWA KAFARA

KAZI IPO YA SIMU ZA MKONONI?

.Haya sio yale ya kutumia simu za mkononi. hi lkn jee kama umevuja Zanzibar ushindwe kufika bara?Hivi wabara hawapendi. Kwa upande wa Tanzania bara hamna W. Jee hizi shule zilizofutiwa hao waliopatiwa matokeo wote ni div 4. NECTA IMETUMIA FORUMULAR GANI?


SHULE KAMA KIBASILA, SHULE YA BENJAMINI MKAPA, JANGWANI LICHA YA KULALAMIKIWA KWAMBA WATU WANAFUNZI WAMEKAMATWA NA MTIHANI HAKUNA W
 
Umefanya utafiti au unaandika propaganda za misikitini? Mbona mimi nawafahamu wengi sana waliopitia seminary na wame perform vizuri vyuoni.

Ushahidi wa kimazingira unaonyesha hivyo..(besides msikitini hakuna propaganda usichanganye mambo show respect to other peoples believes)..

Kuna namna tatu shule za kanisa zinapata feva; a. wanapewa mitihani ili waendelee kufaulisha na kuaminiwa b. wamepewa resources through MoU hivyo wana uwezo wa kuajiri walimu wazuri c. wanapendelewa wakati wa kusahihisha mitihani kwani mitihani inasahihishwa kwenye kumbi za kanisa mara nyingi why? wanafanya lobbying..kuhakikisha shule zao zinafaulu d. walimu wanaosahihisha wengi ni wakristo..

Hizo zote ni sababu za kimazingira kuonyesha kuwa kuna upendeleo, mwalimu anaweza kufukuza watu kwakuwa wanataka kusali (level hii ya chuki) akifika kusahihisha mitihani ya shule za zanzibar na kiislam atakuwa na huruma?? ataonyesha chuki full time..

Tuna safari ndefu kuondoa udini Tanzania; yetu macho
 

Shule nyingi za Zanzibar zimepewa alama ya W.

kwa mfano
S3000 MAZIZINI ISLAMIC SECONDARY SCHOOL DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 1 DIV-IV = 0 FLD = 0 . hawa ni zaidi ya

wanafunzi 51.



Shule inayoapakana majengo , Skuli ya Kiembe Samaki Hakuna W. kina F na D.

Mikunguni, kati ya wanafunzi 42, 5 tu walionekana wameletewa matokeo yao .

Shule ya Jangombe kati ya wanafunzi 176 , 53 wameletewa matokeo yao ya alama za D na F huku mengine yakindikwa (W) .


Shule ya Jangombe ipo karibu na Kidongochekundu ambayo haina W


Shule ya High View ,kati ya wanafunzi 78 , 9 tuShule ya Laureate ni wanafunzi 2 kati 48 . Hizi shule mbili zipo pua na mdomo na Shule ya Chukwani ambayo hakuna aliepewa W.kuna F za kumwaga.


S1352 SUFA SECONDARY SCHOOL DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 5 FLD = 2 kati ya wanafunzi 40, 7 ndio nacte imewaachia.

Hii imepakana na Mwanakekwe C ambayo haina W hata moja


. Shule ya Hamani kati ya wanafunzi 176 wanafunzi 14. shule hii ipo pua na mdomo na shule ya Benbella, haile salas, vikokotoni na Tumekuja hizi zote hakuna W


. Bilali Seminary ni wanafunzi 4, kati ya 46 ndio waliokoswa kubakwa na NECTA. waliobaki ni D na F. shule hii ipo pua na mdomo na Shule ya Nyerere ambayo haina W, imejaa D na F


Shule za Zanzibar zote zipo karibu sana.wanafunzi wanaishi pamoja, wanadurusu pamoja


. Kwa hali ya kawaida inaonyesha mtihani umevuja tena umevuja kupindukia. MTIHANI UNATUNGWA BARA. NA KAMA UMEVUJA ZANZIBAR BASI HATA DAR UMEFIKA, HATA IRINGA NA TABORA UMEFIKA.LKN ZANZIBAR IMETOLOEWA KAFARA

KAZI IPO YA SIMU ZA MKONONI?

.Haya sio yale ya kutumia simu za mkononi. hi lkn jee kama umevuja Zanzibar ushindwe kufika bara?Hivi wabara hawapendi. Kwa upande wa Tanzania bara hamna W. Jee hizi shule zilizofutiwa hao waliopatiwa matokeo wote ni div 4. NECTA IMETUMIA FORUMULAR GANI?


SHULE KAMA KIBASILA, SHULE YA BENJAMINI MKAPA, JANGWANI LICHA YA KULALAMIKIWA KWAMBA WATU WANAFUNZI WAMEKAMATWA NA MTIHANI HAKUNA W
 

Hoja za kitoto kama hizi ndo zinazidi kuongeza jamii ya wajinga ktk dini ya waislam coz nyie kama wazazi badala ya kuchukua jukumu la kukataza watoto wenu waache kupoteza muda ktk faisbuku nyinyi mnatafutiza public sympathy kwa style flani za kilimbukeni chini ya mwavuli wa UISLAM na matokeo yake mnazalisha jamii ya wajinga kuanzia babu mpaka kitukuu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…