Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,987
- 1,757
Wana JF
Ilikuwa mwaka 2010 wakati tunaelekea uchaguz mkuu na pia mitihani ya kidato cha nne. Waziri wa Elimu kipindi hicho Prof Maghembe akiwa ziarani Tarafa ya Ugweno katika shule ya Msingi Lambo kwenye mkutano wa Hadhara na matamshi yake yakarudiwa tena mwaka huo shule ya sekondari Vudoi Mwanga naomba kunukuu kwa kipare " Nangera emoghie mme!Nimi baba wa Wizara! nafuta mtihani wa kidato cha keri!vana venyu vetikakakethwe kangi! ugura pembe ja wizara halafu uthikete lughenjo kaa! uvo ni vurundu" maana yake ni " Nangera alijifungua Dume la Mbegu, yeye ndio Baba wa Wizara, amefuta mtihani wa kidato cha pili watoto wa wao hawatasumbuliwa tena kwa ada ya mtihani na pia mtihani wenyewe! unakuwaje mshika pembe za wizara alafu usiwe na msaada nyumbani, Huo ni Ujinga"(Nangera ni Mama yake Mzazi Prof Maghembe).
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa zao hili la Div 0 240,000 ndio wale ambao hawakufanya mtihani huo .
Naomba kuwasilisha
Ilikuwa mwaka 2010 wakati tunaelekea uchaguz mkuu na pia mitihani ya kidato cha nne. Waziri wa Elimu kipindi hicho Prof Maghembe akiwa ziarani Tarafa ya Ugweno katika shule ya Msingi Lambo kwenye mkutano wa Hadhara na matamshi yake yakarudiwa tena mwaka huo shule ya sekondari Vudoi Mwanga naomba kunukuu kwa kipare " Nangera emoghie mme!Nimi baba wa Wizara! nafuta mtihani wa kidato cha keri!vana venyu vetikakakethwe kangi! ugura pembe ja wizara halafu uthikete lughenjo kaa! uvo ni vurundu" maana yake ni " Nangera alijifungua Dume la Mbegu, yeye ndio Baba wa Wizara, amefuta mtihani wa kidato cha pili watoto wa wao hawatasumbuliwa tena kwa ada ya mtihani na pia mtihani wenyewe! unakuwaje mshika pembe za wizara alafu usiwe na msaada nyumbani, Huo ni Ujinga"(Nangera ni Mama yake Mzazi Prof Maghembe).
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa zao hili la Div 0 240,000 ndio wale ambao hawakufanya mtihani huo .
Naomba kuwasilisha