Ndio maana graduates wa sasa hawajiwezi kazini. Nahisi kabisa hili ni swali la assignment sasa badala ya kusoma vitabu, scholarly journal articles, na kupata current affairs wewe mwenyewe unakuja kuuliza humu JF.
Kama unabisha hiki nilichohisi sio niambie sababu za msingi za wewe kutaka kujua jambo hili.
Mbaya zaidi hata 'haujachokoza' mada yenyewe.