P Pilo boy Member Joined Jan 29, 2013 Posts 56 Reaction score 9 Jun 1, 2013 #1 jaman wadau wa jf,hv n kwel ufaul wa wanafunz kdato cha sita umeongezeka au ndo kutudanganya.
Pro J Member Joined May 3, 2013 Posts 8 Reaction score 1 Jun 1, 2013 #2 Hizo cheating tu hakuna kilicho ongezeka , kwanza ukiangalia f za Gs vimetapakaa hata pia kuna waliokuwa na 2 lkn wakapelekwa 3 cos of f ya Gs.Hao ni kujitapa tu ili kulizisha wazazi lisiwe Kama soo la form 4.
Hizo cheating tu hakuna kilicho ongezeka , kwanza ukiangalia f za Gs vimetapakaa hata pia kuna waliokuwa na 2 lkn wakapelekwa 3 cos of f ya Gs.Hao ni kujitapa tu ili kulizisha wazazi lisiwe Kama soo la form 4.
T TRamadhani Member Joined May 30, 2013 Posts 48 Reaction score 18 Jun 11, 2013 #3 elimu ye2 jaman imeingiwa na siasa