Matokeo kidato cha 4, 2013; masomo ya BRN yameongoza kwa kufanya vizuri..(...)...

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,325
Reaction score
2,491
Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka 2013 yanaoshesha kuwa, masomo yaliyo kwenye mpango wa Big Result Now(BRN) Yaani: kiswahili, english, biology na mathematics yameongoza kwa kufanya vizuri ukilinganisha na miaka iliyotangulia kabla ya uwepo wa huo mpango hasa mathematics na english. Je kuna kahuruma kalifanyika au ni ndo mafanikio ya BRN?
 

kuna baadhi wa watahiniwawamepata point 44,45 na 46 wamepewa div iv na baadhi wamepata point hizo hizo wamepewa div o,hebu nisaidie vigezo vilivyotumika
 
hakuna lolote walustandardize
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…