Inaonekana kutokana na wingi wa shule mpya za kata zenye kupokea wanafunzi wa kidato cha 5 matokeo yamecheleweshwa ili kustandardise alama za wanafunzi kwa hyo hadi wenye alama za chini watafaulishwa ili shule zote zpate wanafunzi usisikie kiwango cha ufaulu kmepanda ukashangaa kumbe
Mambulula wamejazwa shuleni wizi mtupuuu!!