Matokeo kidato cha nne 2011

Natamani kuimaliza serikali ya magamba :smash:
 
Kitu PCM,PCB,CBG,PGM,HKL,HGL AND HGK. dah
 
Jamani mimi link zote zinagoma kufungua.Mnisaidie
 
Mwaka huu na mwaka jana sijui afadhali upi. Hata hivyo, 3rd law of motion do apply. Wakati wengine watalia sana, wengine ni sherehe. Na wale viherehere waliokuwa wakisumbua humu jamvini, mtupe matokeo yenu. Hongereni wote mliofuzu
 
Poa saaaana mkuuu idumu JF ashindwe na aregeeeeeee mama Rwakatare.
 
Mliofaulu hongereni mliofeli bado kuna nafasi ya pili.
 
haya matokeo yalinisababishia ban,sijui huyu bwana mdogo kafaulu..maana alikua na hasira sana.ila utakua umevuna ulichopanda.
 
Asante sana mkuu,
binti yangu amepata III ya point 22
Je atapangiwa shule.
 
Shule gani kamanda
ndugu sekondari shule ya kata, ila dogo langu limepata div. 3 point 24, issue kombi hazija balance, dah! haya mambo ya private sijui kama ntayaweza.
cheki utaona saimon shekilango richard
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…