Hata wewe fuatilia hiyo number kuhusu kuongezewa hayo masomo kwenye matokeoNa ndio maana nikamalizia kwa kusema tuhuma kama hizo ni nzito hususani kama zinatoka kwa mmiliki wa shule na ndio maana nikatoa changamoto kwa Ndalichako atolee ufafanuzi....manake kauli iliyotoka ni ya Msemaji tu huku vigogo wote waliohojiwa wakiacha kutoa ushirikiano!
Fuatilia huyo wa 01197/0173kwenye matokeo uone kama kuna ukweli wa kuongezewa hiyo bookeeping na commerce kuhusu ufanyaji wa mitihani wa huyo mwingine mpaka muhisika ndio athibitishe
Mimi sijamaliza mwaka jana! Nilisoma Mzumbe - o level, Songea Boys - a level na UDSM,BSC na sasa nasoma Master OUTWajinga sana nyinyi hamkujiandaa imekula na kulala kwenu! Hamna kitu kama hicho.
Sasa huyu naye wanamtafutia nini? Au wanataka tu kutuchekesha tulionuna?Naye Naibu Waziri, Philipo Mulugo, alipotafutwa kupitia simu yake ya mkononi kueleza msimamo wake, simu yake iliita bila kupokewa na hata hakuwa tayari kujibu meseji ya ujumbe mfupi.
uje na data kamili na uache uongo. Grean acres nani hakufanya mtihani na kawekewa maks. Tupe namba
Ingekuwa nafuu hata kama huo utafiti tungekuwa tunaufanya, Ndalichako anasema wamefeli eti kwa sababu clouds walimpa promo aliyeandika mashairi mwaka jana. Ndo utafiti wetu huo
Mungu wangu!!!!
nchi inaisha hii,
huyo waziri anangoja nini huko kwenye ofisi zetu?
Tanzania hatuko serious, huyo msemaji anatoa maelezo mepesi kama hayo, na wala haoni kama ni tatizo kubwa.Akitolea ufafanuzi suala hilo, Msemaji wa Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA), John Nchimbi, alisema si kweli kuwa matokeo hayo yamechakachuliwa bali ni matokeo halisi ya shule hiyo.
Alisema iwapo mkurugenzi wa shule hiyo ana shaka na matokeo hayo, alitakiwa kufika katika ofisi za baraza hilo ili apatiwe taarifa sahihi kabla ya kutoa taarifa katika vyombo vya habari.
"Mi nimeangalia hayo majina, naona yapo sawa na hata huyo mwanafunzi ambaye anasemekana hakufanya mitihani na akapewa alama…napenda kusema kuwa alama alizopewa si zake na hata katika orodha yetu anaonekana kuwa hakufanya mitihani," alisema.