Napata wasiwasi na huyo Bujugo anaposema kwamba walimsimamisha mwanafunzi masomo, hivyo hakufanya mtihani. Je alimfukuza akiwa kidato cha ngapi? Nasema hivyo kwa kuwa, serikali imekataza wanafunzi walio vidato vya mitihani ya taifa kufukuzwa. Ikiwama kama wamefanya kosa kubwa, wanaweza kusimamishwa kutoendelea na masomo, ila wataruhusiwa kufanya mtihani.
Nasubiri Dr. Ndalichako, labda anaweza, kutolea ufafanuzi. Sina imani na Bujugo kwa kuwa ni mdhulumishi wa kutupwa (yupo kwenye harakati za kudhulumu eneo la wzi ilnalotakiwa kujengwa serikali ya mtaa - Mbezi Jogoo), amekuwa akiiba mitihani.