Matokeo kidato cha Nne Asilimia 46 wame-score Zero!

Matokeo kidato cha Nne Asilimia 46 wame-score Zero!

Eghorohe

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2011
Posts
220
Reaction score
79
Na mwandishi wetu Fredy Azzah-Gazeti la mwananchi February 9, 2012
BARAZA la Mtihani la Taifa(Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana yanaonyesha kuwa asilimia 53.59 ya wanafunzi 426,314 waliofanya mtihani huo wamefaulu.

Maana yake 53.59% wamepata division 1-4, na waliobaki wamepata zero,hata waliopata division four ya 31 nao wanahesabika wamefauru. Hivyo waliopata zero ni 46.41%
 
Na mwandishi wetu Fredy Azzah-Gazeti la mwananchi February 9, 2012
BARAZA la Mtihani la Taifa(Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana yanaonyesha kuwa asilimia 53.59 ya wanafunzi 426,314 waliofanya mtihani huo wamefaulu.

Maana yake 53.59% wamepata division 1-4, na waliobaki wamepata zero,hata waliopata division four ya 31 nao wanahesabika wamefauru. Hivyo waliopata zero ni 46.41%

wamefauru = wamefaulu
 
hayo ndio matunda tuliokuwa tunayapanda miaka minne iliyopita..
 
Haya ni mafanikio makubwa kwa serikali ya ccm, maana malengo yake ni kutuanzishia shule za kata zisizo na vifaa wala waalimu ili kuzalisha mambumbumbu wengi ili watoto wao wanaosomeshwa kwenye mashule bora na wengine nje ya nchi waje wawatawale watoto wetu milele.
 
Aisee sijui tunaipeleka wapi nchi, kama wasomi ndo hivyo tena tumekwisha
 
na waliopata 4 ni % ngapi?

waliopata div.1 mpaka 3 = 9.98%
waliopata div.4 =43.39%
waliopata div.0= 46.63%
Kwa wastani waliofaulu vizuri ni kama 10% yaani kati ya wanafunzi 100 waliofanya mtihani ni wanafunzi 10 tu ndio wanauwezo wa kuendelea na kidato cha 5.Hivyo nchi iko ICU kwa sababu ya wizara ya elimu kupewa likizo kwa muda mrefu.
 
waliopata div.1 mpaka 3 = 9.98%
waliopata div.4 =43.39%
waliopata div.0= 46.63%
Pathetic! Hawa wote (90%) tunawapeleka wapi? Yaani hili ni janga la kitaifa.
 
s0497 temeke youth muslim secondary school
div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 0 div-iv = 9 fld= 16
Jamaa inabidi wakae chini na kuacha kupigania hijabu na misikiti mashuleni. Nasubiri kwa hamu radio iman watajadili vipi haya matokeo.
 
Pathetic! Hawa wote (90%) tunawapeleka wapi? Yaani hili ni janga la kitaifa.
lengo nadhani ilikuwa ni kuzalisha WAJINGA(FOOLS PRODUCTION),hivyo kwa hili serikali nadhani wamefanikiwa.walitaka watu ambao wataweza kutawalika kirahisi lakini huenda hii ikageuka ikawa kinyume chake.
 
Kwa mfumo huu wamejitahidi. Tujiandae kushuhudia makubwa huko mbeleni.
 
Back
Top Bottom