kimaus
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 582
- 707
Nashindwa kuelewa ni kitu gani kilifanyiwa mabadiliko ktk mitihani ya kidato cha nne. Nilisikia awali grading zilikuwa mpya so watarudisha grading za zamani, swali, Je mtu mwenye four ya 27 kwa grades mpya iweje apate four ya 26 kwa grades mpya ilhali C ya grades mpya ni almost B ya grades za zamani?
Kama walirudia kusahihisha mitihani, je inawezekana kusahihisha mitihani na kugrade ndani ya mwezi mmoja?
Sipati jibu, nahisi hii ilikuwa ni move ya kupunguza ZEROS KWA LAZIMA!
Wenzangu mnasemaje wadau?
Kama walirudia kusahihisha mitihani, je inawezekana kusahihisha mitihani na kugrade ndani ya mwezi mmoja?
Sipati jibu, nahisi hii ilikuwa ni move ya kupunguza ZEROS KWA LAZIMA!
Wenzangu mnasemaje wadau?