Matokeo kidato cha nne yamechakachuliwa

Kama kweli hii ni hatari kwa mstakabali wa taifa. Kama ni habari ya kubuniwa tutafakali.
 
kama ni kweli tumekwisha

Mama wa Migombani sijui unafanya nini siku zote huko lakini hili jambo si la kulipuuza kabisa. Kwa serikali inayoendekeza siasa na kuogopa changamoto wanaweza kufanya hayo.
 


Nilishawahi kusema hata kama wakifaulu Mungu atashangaa. Hakuna shule bila nidhamu. Watoto wengi hawana nidhamu ya shule. Wako busy na simu, movies, facebook na hakuna anaejali. si wazazi wala wao. Nasema tena watafeli tu, na ndio stahili zao. Sijui tunajenga taifa gani. Hakuna nidhamu ya shule. Kama serikali au yeyote atabadilisha matokeo wanamdanganya nani? Wanawadanganya watakaowapa maksi. Nadhani hata wakifeli wote wapewe wanachostahili. Call spade a spade. Tuwafundishe hawa vijana kwa kuwaonyesha ukweli.
 
sidhani kama mama Ndalichako anaweza fanya ujinga huu. By the way standardization ni moja ya njia za taaluma hii.
 
Tunashukuru sana kwa taarifa yako nzuri mkuu. Tunaomba uendelee kutujulisha kila litakaloendelea kutokea kutoka kwa hao wala nchi. Big up sana mkuu
 
Toa sababu nyingine lakini sio kuchelewa matokeo,matokeo huwa yanatoka wiki ya mwisho ya Januari au wiki ya kwanza ya Februari
 
Looh! kama ndo hivyo, mie naanza safari ya kuhamia Darfu kuanza maisha mapya kwani hii sasa basi!!!
 

NGOJA NI KAZIE KABISAAAA: WATAFELI SAAAAAAAAAAAANA MPAKA AIBU..aliekaribu na mtoto wa secondari amuulize sientific name yake na sio ya human being..we muulize yake..,kama ataweza.!
 

Hii ndiyo Tanzania nchi inayokumbatha mabaya na haifuati sheria wala katiba
 
sidhani kama mama Ndalichako anaweza fanya ujinga huu. By the way standardization ni moja ya njia za taaluma hii.

Ndo iliyokufaulisha nini au wewe ni miongoni mwa gamba maana unaitetea sana
 
Looh! kama ndo hivyo, mie naanza safari ya kuhamia Darfu kuanza maisha mapya kwani hii sasa basi!!!

Subiri ukione ili sikunyingine mkiambiwa mtoke kupiga kura msijifanye mpo bize na mambo yenu
 
Hicho kitu siyo kigeni, sema namna ya kufanya standardization kama wamekiuka taratibu ndiyo itakuwa hovyo kabisa!! watakuwa wanaiaibisha taaluma ya ualimu. Hakunaga kitu kama kushusha alama ili watu wafaulu, watu wanafanya calculation kama standard deviation & Variance etc ili kuamua mwenye nyingi ashuke au apande kwa kiasi gani.
 

Mbona umekuwa mkali sana na mwenye kumwaga shutuma ukitoka mapovu? Kama ni jambo zuri na la kawaida, wanabishana nini?

RED: Kustandadaiz matokeo ni janja ya kuficha uozo wa kushuka kwa kiwango cha ufundishaji, sasa sijui ni lipi zuri unaloliona hapo wewe mwenzetu mwenye akili sana. (Should we CHANGE the FACE or FACE the CHANGE?) Tunataka kumdanganya nani? Wahitimu wa kustandadaiz wakiwa madaktari, tutawalaumu na wao wakistandadaiz dozi kwa wagonjwa? Hapa nakupa 0%.

BLUE: Usiniambie uongo ukifanywa fairly inakuwa ukweli. Acha nikusaidie hili. Ikiwa wanafunzi wote walikosea kufuata maelekezo lkn majibu ya mtihani yakawa sawa, ningeunga mkono jambo hili kwani yawezekana kulikuwa na kosa ktk maandalizi na si kwamba uelewa wa wanafunzi ni mdogo. Lkn inapotokea 28/100 wamefaulu, basi hilo ni tatizo la ufundishaji na tunatakiwa tukabiliane nalo na si kudanganya umma.

GREEN:
Kumbe unaua kuwa inakuwa mbaya ikiwa sababu za kufanya hivyo sio za msingi, sasa juu ya nini ukawa mkali hivyo? Mbona mimi sikuelewi unasimamia wapi?

What I think of YOU:
You are pathetic. Nafikiri tumeona kwa kipindi hiki jinsi serikali inavyofanya mambo yake kimtindo kwa kujaribu kuwazuga wananchi. Nakupa mifano:
1. Mgomo wa madaktari ulipoanza, uongozi wa hospitali ya Muhimbili (kwa siku mbili za kwanza) waliwaambia waandishi wa habari kuwa mambo pale hospitali ni shwari na huduma zinaendelea kama kawaida. Nafikiri sasa majibu unayo kama ni shwari au si shwari.
2. Kila leo utasikia kutoka kwa wazungu na vibaraka wao ambao ndio wanatuongoza kuwa pato la Taifa limepanda na maisha ya mtanzania yameboreka. Lkn ukiingia mtaani, mambo ni tofauti. Na hata huo uchumi wa nchi ni kichekesho. Lkn serikali inapopongezwa na wazungu wanaojiandaa kuomba vibali vya kuchimba madini yetu, watu kama wewe mnajiunga kushangilia ilhali maisha yenu yanaendelea kuwa mabaya.

Kwa kifupi, watu wa namna yako ukweli hauna maana kwao badala yake unapenda maneno matamu. Ungefurahi kuambiwa mwanao kapata Division I ilhali ni mjinga wa mwisho kwa jinsi ambavyo ulikuwa huna time nae akiwa shuleni. Unanichosha bure, endelea kuishi kwa takwimu za serikali.
 
Mmmmh! Kumshusha mwenye nyingi hiyo sijawahi sikia!
 

Poin noted.
Chukua soda hapo dukani kwa Mangi,
mwambie aandike kwenye bili ya Mphamvu.
Sawasawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…