Matokeo kidato cha pili, nusu wafeli

Matokeo kidato cha pili, nusu wafeli

Kanyigo

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
1,027
Reaction score
193
matokeo yametangazwa
nusu ya wanafunzi waliofanya mtiani huo wamefili walikua laki 4 wamefeli laki 2
source: magazeti ya leo.
 
sijui hawa wa kidato cha nne itakuaje jamani.dah!
 
kwahiyo wanarudia kidato cha pili....walimu wanamgomo
 
ndo athari za mgomo wa kmya kwa kmya! mpaka leo walimu wapo kwenye mgomo. na bado mambo yataendelea kuwa mabaya, serikali walipeni haki zao la sivyo nchi itendelea kuwa ya wajinga! sasa ndo tunaelekea kwa madaktari tusubili zahama ya vifo utakapoanza mgomo wa kmya kwa kmya wa madaktari kama hawatalipwa haki zao wakati wabunge wanajiongezea posho zisizo na tija!
 
Wizara mbovu kuliko zote matokeo wanatoa leo walioferi wanarudi nyumbani au wanarudia kidato cha kwanza?
 
ndo athari za mgomo wa kmya kwa kmya! mpaka leo walimu wapo kwenye mgomo. na bado mambo yataendelea kuwa mabaya, serikali walipeni haki zao la sivyo nchi itendelea kuwa ya wajinga! sasa ndo tunaelekea kwa madaktari tusubili zahama ya vifo utakapoanza mgomo wa kmya kwa kmya wa madaktari kama hawatalipwa haki zao wakati wabunge wanajiongezea posho zisizo na tija!

kumbe mgomo wa walimu ni mbaya sana ingawa athali zake si za mojakwamoja.
 
Wizara mbovu kuliko zote matokeo wanatoa leo walioferi wanarudi nyumbani au wanarudia kidato cha kwanza?

serikali haioni hasara wao kurudi nyumbani wa kwao wako ulaya.
 
bora hawa wana fulsa ya kurudia vipi form four wakifeli nusu..ndugu zangu hali ni mbaya nchini.
Ajila hakuna na watu wanafeli hovyo.
 
na bado unafundisha wanafunzi 100 darasa moja kati ya hao 20 wamekaa chini afu kuna vitabu 3 tu, hata mimi mwalimu wanafunzi wakifaulu nashangaa.... Unategemea ntasihisha madaftari zaidi ya 200 kwa mshahara huu, tena na red pen nijinunulie! Kwa mshahara upi
 
na bado unafundisha wanafunzi 100 darasa moja kati ya hao 20 wamekaa chini afu kuna vitabu 3 tu, hata mimi mwalimu wanafunzi wakifaulu nashangaa.... Unategemea ntasihisha madaftari zaidi ya 200 kwa mshahara huu, tena na red pen nijinunulie! Kwa mshahara upi

walimu wanakazi kwakweli..
 
Tatizo wanafunzi walikuwa kwenye mgomo wa kusoma kwa kuwa walijuwa kuwa wao ni bora liende yaani free to form three.
 
Back
Top Bottom