Nakumbuka wakati namaliza A-level darasani letu karibu watu 12 walipata division one PCM but wote walienda kusoma BCom Udsm .Darasani tulikuwa 60 na karibia wote tulienda vyuoni lakini walioenda kusoma Science hata 10 hawafiki
Serikali inatakiwa kuliangalia hili suala bila hivyo wanafunzi wengi watasoma Science wakifika vyuoni wanakimbilia Uhasibu na Biashara
chama langu lazamani div zero nyingi sanaS0101 AZANIA SECONDARY SCHOOL DIV-I = 34 DIV-II = 67 DIV-III = 115 DIV-IV = 40 FLD = 32
hawa jamaa siku hizi wanafaulu wame improve kiasi hicho mhhhS0342 SHAABAN ROBERT SECONDARY SCHOOL DIV-I = 30 DIV-II = 33 DIV-III = 44 DIV-IV = 4 FLD = 0
hawa jamaa na kufeli kwingi sanaS0347 TAMBAZA SECONDARY SCHOOL DIV-I = 33 DIV-II = 74 DIV-III = 224 DIV-IV = 72 FLD = 56
S0335 MZIZIMA SECONDARY SCHOOL DIV-I = 0 DIV-II = 6 DIV-III = 17 DIV-IV = 5 FLD = 9
Mkuu, I support your observation.
Tatizo siku hizi nchi yetu imeshakuwa ya ujanja ujanja..kila mtu anataka maisha ya mkato. NANI aende FoE kuvaa overoli..wakati anajua akila Bcom...anaingia CRDB au NMB chapchap? I can assure you, at least from experience..asilimia kubwa ya hawa vijana wataishia Biashara na Law....au Computer Science...Vijana wanajitahidi..swala ni serikali kurudisha heshima ya elimu kwa ujumla. Unapomuona Professor wa Physics na Chemistry akiwa frustrated kwa mshahara mdogo..wakati akina Chitalilo darasa la saba wakiwa wanapeta..you wonder what is wrong with a young man going to specialize in Bs Physics au Chemistry...Ukweli siku hizi ni vigumu sana kwa Tanzania yetu kuukimbia umasikini kupitia taaluma ya sayansi. Inwezekana lakini ni ngumu mno. Zamani mtu alikuwa akipata A ya kemia au hisabati..anaonekana kipanga..lakini siku hizi....hali imebadilika sana. Utakuta "ngwini" waliokuwa wanachekwa..ndo wameshikilia mpini...Sayansi unasoma...na GPA yako nzuri....inabidi ukapange foleni Vodacom au Zain..kupanda minara.....We really need to put science in its rightful place. For now..we are on a wrong course.
Raha sana kuna mtoto wa jirani alikuwa Jangwani kapata pointi 3..yaani History A, Geog. A na Economics A!!
Halafu alikuwa anapanda tu daladala, anakaa Ubungo, ama kweli kila mtu na akili na bahati yake Kudadeki: inabidi nimnunulie zawadi nzuri!
Raha sana kuna mtoto wa jirani alikuwa Jangwani kapata pointi 3..yaani History A, Geog. A na Economics A!!
Halafu alikuwa anapanda tu daladala, anakaa Ubungo, ama kweli kila mtu na akili na bahati yake
Kudadeki: inabidi nimnunulie zawadi nzuri!
Raha sana kuna mtoto wa jirani alikuwa Jangwani kapata pointi 3..yaani History A, Geog. A na Economics A!!
Halafu alikuwa anapanda tu daladala, anakaa Ubungo, ama kweli kila mtu na akili na bahati yake
Kudadeki: inabidi nimnunulie zawadi nzuri!
Hongera zake, naamini wazazi wake wamefurahi sana. Inatia moyo kuona mtoto amejitahidi shuleni na amefumua vizuri.
Hata wewe kama ni mzazi unaelewa kuwa jitihada binafsi za mtoto/mwanafunzi ndiyo kigezo cha kufaulu. Mengine ni ziada kama kwenda na taxi au gari shule.
Umpe zawadi yake,usije kusahau!!
Economics A??!!si mchezo...
BelindaJacob,
1. Nimemwambia nitamnunulia laptop..ni ahadi yangu lazima niitizime kabla hajanza chuo. Ndo anauliza asome nini?? ana A 3 ktk Econ, Hist. & Geog.
2. Pia O level alipata A 8..na alikuwa kati ya binti waliopewa zawadi na JK 2007.
Yaani kila mtu amefurahi..tangu wazazi, waalimu hadi majirani!
chama langu lazamani div zero nyingi sana
BelindaJacob,
1. Nimemwambia nitamnunulia laptop..ni ahadi yangu lazima niitizime kabla hajanza chuo. Ndo anauliza asome nini?? ana A 3 ktk Econ, Hist. & Geog.
2. Pia O level alipata A 8..na alikuwa kati ya binti waliopewa zawadi na JK 2007.
Yaani kila mtu amefurahi..tangu wazazi, waalimu hadi majirani!
Raha sana kuna mtoto wa jirani alikuwa Jangwani kapata pointi 3..yaani History A, Geog. A na Economics A!!
Halafu alikuwa anapanda tu daladala, anakaa Ubungo, ama kweli kila mtu na akili na bahati yake
Kudadeki: inabidi nimnunulie zawadi nzuri!
BelindaJacob,
1. Nimemwambia nitamnunulia laptop..ni ahadi yangu lazima niitizime kabla hajanza chuo. Ndo anauliza asome nini?? ana A 3 ktk Econ, Hist. & Geog.
2. Pia O level alipata A 8..na alikuwa kati ya binti waliopewa zawadi na JK 2007.
Yaani kila mtu amefurahi..tangu wazazi, waalimu hadi majirani!
Mkuu,
Kama ni zawadi basi umemchagulia nzuri sana...nakupa hongera na wewe kwa kuonyesha moyo huo; safi sana.
Mimi ningeshauri aangalie katoka masomo yote aliyosoma ni lipi analipenda kwa DHATI na kwamba yeye binafsi anaamini amelipasi kwa jitihada nafuu kuliko mengine yote. Kupata A masomo yote 3 inaonyesha anayapenda na kumudu yote lakini lazima kuna moja linazidi mengine, na hilo ndilo namshauri alikomalie mpaka chuo kikuu...huko pia atafanya vizuri sana...akifaulu digrii vizuri then sky's the limit.
Asifanye kosa la kuangalia na kufuata demand iliyopo kwenye "Job Market" kwa wakati huu ndio imchagulie somo la Chuo Kikuu...nilifanya makosa hayo na ilipofika kipindi namaliza Chuo job market ilikuwa imebadilika sana ikanibidi kujifunza skills nyingine upya.
Kila la kheri.