matokeo mabaya ya kidato cha nne 2013

rukaragata

Member
Joined
Feb 14, 2013
Posts
5
Reaction score
0
Kuna uwezekano wa kutuchanganya kuhusu matokeo haya. Inafaa serikali iseme wazi kilichotokea tangu uasahihishaji hadi kutoa matokeo. Serikali ikifanya hivyo basi jumuiya itakuwa na mahali pakuanzia kutoa maoni. Kinachofanyika sasa ni kila mtu kutoa hisia zake bila kuwa na vigezo vya kusema hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…