Matokeo makubwa sasa katika elimu

Matokeo makubwa sasa katika elimu

Joined
Aug 7, 2013
Posts
71
Reaction score
15
Natumaini great thinkers wote ni wazima...

Nimeguswa sana na jambo kubwa ambalo serikali yetu inajitahidi kuinua elimu yetu ambayo inaonekana kudidimia. Wanaita BIG RESULT NOW.

wana mpango wa kuboresha miundo mbinu kama madarasa, maabara, nyumba za walimu nk

kuboresha uongozi wa shule kwa kuwa na kiongozi cha mkuu wa shule


kuboresha maslahi ya mwalimu kwa kumlipa kila deni analodai serikali na kulipa allowance ya mazingira magumu.

matokeo makubwa sasa yanategemewa kupimwa kwanzia darasa la saba mwaka huu na kidato cha nne mwaka huu.

Swali langu


Je ni rahisi kweli kupata matokeo makubwa sasa kwa muda mfupi hivi na kwa kutoa kipaumbele katika mambo haya?
Sio tungeanza kwa kuangalia mitaala yetu?

Tuchangie wadau tufanyeje kuinua elimu yetu..
 
Natumaini great thinkers wote ni wazima...

Nimeguswa sana na jambo kubwa ambalo serikali yetu inajitahidi kuinua elimu yetu ambayo inaonekana kudidimia. Wanaita BIG RESULT NOW.

wana mpango wa kuboresha miundo mbinu kama madarasa, maabara, nyumba za walimu nk

kuboresha uongozi wa shule kwa kuwa na kiongozi cha mkuu wa shule


kuboresha maslahi ya mwalimu kwa kumlipa kila deni analodai serikali na kulipa allowance ya mazingira magumu.

matokeo makubwa sasa yanategemewa kupimwa kwanzia darasa la saba mwaka huu na kidato cha nne mwaka huu.

Swali langu


Je ni rahisi kweli kupata matokeo makubwa sasa kwa muda mfupi hivi na kwa kutoa kipaumbele katika mambo haya?
Sio tungeanza kwa kuangalia mitaala yetu?

Tuchangie wadau tufanyeje kuinua elimu yetu..


As far as I understand, this is a mere common political slogans just like Maisha Bora kwa kila Mtanzania, Ari, Nguvu and Kasi Mpya. The Big Results now is a copy and Paste strategy which does not have roots in Tanzania. The politicians will make the big results now through corruption, and the mis use of resources. The truth will remain, Tanzanians will continue to be more poor and poorer as days go by.

It is every body's blame. We were completely cheated twice. Let us involve God this time. Other wise no better moments under this current Leadership.
 
Desperate my TZ ,kama nguo ambayo umeweka viraka Vingi,kiasikwamba huwezi weka kiraka kingine bali kuitupa na kununua nguo nyingine. Lakini nduguzangu tusife moyo kabisa ,let's keep riding to keep the balance.
 
Mkuu potential girl,

Kuna vitu vinakuwa ni nadharia sana,
Moja, kuhakikisha madeni yote ya waalimu yanalipwa, hii sio picha ya kuigiza, ikiwa malimbikizo ni zaidi ya miaka hayajafanyiwa kazi pesa hiyo itatoka wapi?..Simaanishi pesa haipo, bali kwanini sasa(muda huu).

Pili, Ufaulu mzuri wa wanafunzi hutegemea maandalizi ya mapema lakini yaliyo mazuri! Na hivyo unadharia mwingine wa kuhamasisha waalimu wakati muda ukiwa umekwisha... ni nadharia nyingine tunayoipenda.

Tatu, hata kama maandalizi, motisha kwa waalimu ni nzuri, bado umuhimu wa walezi na wazazi unahitajika katika kukuza elimu bora, hasa kwa watoto na vijana wa kizazi hiki 'wenye mambo mengi'.
 
Last edited by a moderator:
Natumaini great thinkers wote ni wazima...

Nimeguswa sana na jambo kubwa ambalo serikali yetu inajitahidi kuinua elimu yetu ambayo inaonekana kudidimia. Wanaita BIG RESULT NOW.

wana mpango wa kuboresha miundo mbinu kama madarasa, maabara, nyumba za walimu nk

kuboresha uongozi wa shule kwa kuwa na kiongozi cha mkuu wa shule


kuboresha maslahi ya mwalimu kwa kumlipa kila deni analodai serikali na kulipa allowance ya mazingira magumu.

matokeo makubwa sasa yanategemewa kupimwa kwanzia darasa la saba mwaka huu na kidato cha nne mwaka huu.

Swali langu


Je ni rahisi kweli kupata matokeo makubwa sasa kwa muda mfupi hivi na kwa kutoa kipaumbele katika mambo haya?
Sio tungeanza kwa kuangalia mitaala yetu?

Tuchangie wadau tufanyeje kuinua elimu yetu..

inawezekana kwa sababu kikwazo mama ndalichako ameondolewa kwa dhumun la kumuweka mtu wanayeweza kumcontrol kwa manufaa yao ya kisiasa unamfahamu aliejenga shule za kata na kufuta mthihan wa kidato cha 2 na malengo yake! Watu wametengeneza matatizo now wanajifanya wanayatatua kama unafikiria sana utagundua haka kamchezo mkuu?.
 
Hakuna kitu hapo ni kauliza ya kipuuzi na kisiasa.
 
Nilimsikia Commissioner wa elimu akihojiwa alisema wadau wawajibike na kujituma bila kutegemea malipo yoyote, kwa hiyo sidhani kama kuna maboresho yoyote hasa kwa maslahi ya walimu.
 
Tutegemee political standardisation ya matokeo na uchakachuaji katika level zote ili kufanikisha matokeo makubwa sasa bila maandalizi sasa
 
Back
Top Bottom