Jamani matokeo ya game hili vp? mtujuze mliopo uwanjani..............
tz 0-2 ug halftime.
unatania au ndiyo ilivyo, ndiyo nilikuwa natoka ofisini niende nikacheck sasa siendi tenatz 0-2 ug halftime.
unatania au ndiyo ilivyo, ndiyo nilikuwa natoka ofisini niende nikacheck sasa siendi tena
Are you serious??
Yap na 4-2 on aggregate.Kazi iko, 2-1?
Yap na 4-2 on aggregate.
Kuruhusu kufungwa bao ni kosa kubwa kwa U 23. Sasa wanatakiwa kupiga 3 goals more vinginevyo wameula wa chuya!