Serekali ya tanzania inatarajiwa kutangaza matokeo mapya ya kidato cha nne siku ya Ijumaa.
Hayo yame semwa na wazir wa elimu wakati aki hojiwa katika kipi cha kume pamba zuka cha radio 1
pia wazr ame tangaza kua matokeo ya kidato cha 6 yatat0ka hv karbun na ame wa0mba watanzania kuwa na subira katka kusubr matokeo hayo
JE TU TEGEMEE NIN KATIKA MATOKEO HAYO?
vp kwani mukandala na ndalichako wamesha jiuzulu au wanasubiri yakitangazwa ndo wajiuzulu
Wakristo huwa hawatakiwi kujiuzulu........Anayetakiwa kujiuzulu ni Dr. Kawambwa peke yake sawa???