Habari za kuaminika kutoka kwa ndugu wa karibu wa mh naibu wazir anayeshughulikia maswala ya elimu hapa nchini kwa sasa kuwa national examination results kwa matokeo yaliyofutwa yanatarajia kutangazwa kesho baada ya kukamilika kwa marekebisho ya upangaji mpya wa madaraja. chanzo cha kuaminika n ndugu wa karibu
mambo ya kiofisi ndugu kapewa taarifa.du,bora ungesema mfanykaz wa necta ndugu yake wazr.lakn labda,ila inaonekana nawe umeambiwa