John Mnaku B. Mhozya
Member
- Jan 19, 2013
- 23
- 21
Wenzangu wana JF,
Ninaelewa kwamba hakuna taifa lolote lililoendelea duniani pasipo kuimarika kwa elimu. Nimeyapitia kwa haraka haraka matokeo yaliyotangazwa jana na nimegundua matatizo ambayo ni "irreparable" yanayofanya waziri na manaibu wake wawajibike kisiasa kwa kushindwa kazi. Mfano mdogo ni mtahiniwa huyu hapa chini. Kwa jinsi matokeo na uhalisia wa matokeo yake, angepaswa kuwa na Daraja la 4 na Alama 33 (Div 4 Points 33). Badala yake angalieni kinachoonekana sasa. tatizo hili naamini alipo kwa huyu mmoja tu. Tunaipeleka wapi nchi yetu kwa siasa zetu hizi za kuchezea matokeo ya watu wetu?
[TD="width: 6%"] S3735/0072
[/TD]
[TD="width: 4%"] M
[/TD]
[TD="width: 6%"] 32
[/TD]
[TD="width: 4%"] IV
[/TD]
[TD="width: 58%"] CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F PHY-F CHEM-D BIO-D B/MATH-F
[/TD]
Ninaelewa kwamba hakuna taifa lolote lililoendelea duniani pasipo kuimarika kwa elimu. Nimeyapitia kwa haraka haraka matokeo yaliyotangazwa jana na nimegundua matatizo ambayo ni "irreparable" yanayofanya waziri na manaibu wake wawajibike kisiasa kwa kushindwa kazi. Mfano mdogo ni mtahiniwa huyu hapa chini. Kwa jinsi matokeo na uhalisia wa matokeo yake, angepaswa kuwa na Daraja la 4 na Alama 33 (Div 4 Points 33). Badala yake angalieni kinachoonekana sasa. tatizo hili naamini alipo kwa huyu mmoja tu. Tunaipeleka wapi nchi yetu kwa siasa zetu hizi za kuchezea matokeo ya watu wetu?
[TD="width: 6%"] S3735/0072
[/TD]
[TD="width: 4%"] M
[/TD]
[TD="width: 6%"] 32
[/TD]
[TD="width: 4%"] IV
[/TD]
[TD="width: 58%"] CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F PHY-F CHEM-D BIO-D B/MATH-F
[/TD]