jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Baada ya kimya kirefu cha kama miezi miwili hivi hatimaye Necta wameweka matokeo mapya.
baada ya kazi nzuri ya baraza na wizara hatimaye mpwa wangu kapanda daraja kutoka III hadi II ya 21.
Matokeo yake ni kama ifuatavyo
civics-D
history-D
chemistry-c
biology-c
physics-c
english-c
kiswahili-c
B/maths-c
geography-c
Kwa matokeo yake ya awali bofya https://www.jamiiforums.com/jukwaa-.../403395-haya-ndiyo-matokeo-ya-mpwa-wangu.html
baada ya kazi nzuri ya baraza na wizara hatimaye mpwa wangu kapanda daraja kutoka III hadi II ya 21.
Matokeo yake ni kama ifuatavyo
civics-D
history-D
chemistry-c
biology-c
physics-c
english-c
kiswahili-c
B/maths-c
geography-c
Kwa matokeo yake ya awali bofya https://www.jamiiforums.com/jukwaa-.../403395-haya-ndiyo-matokeo-ya-mpwa-wangu.html