Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
Mdau wa Tabora amenipasha kuwa Sitta anaelekea kushinda kwa Kishindo Urambo mashariki, Prof. Lipumba hali yake mbaya huko Kaliua ana mchuano mkali na CHADEMA, Rage anaelekea kushinda kwa kishindo Tabora mjini, Rostam anapumulia machine ICU
Mdau wa Tabora amenipasha kuwa Sitta anaelekea kushinda kwa Kishindo Urambo mashariki, Prof. Lipumba hali yake mbaya huko Kaliua ana mchuano mkali na CHADEMA, Rage anaelekea kushinda kwa kishindo Tabora mjini, Rostam anapumulia machine ICU
Mdau wa Tabora amenipasha kuwa Sitta anaelekea kushinda kwa Kishindo Urambo mashariki, Prof. Lipumba hali yake mbaya huko Kaliua ana mchuano mkali na CHADEMA, Rage anaelekea kushinda kwa kishindo Tabora mjini, Rostam anapumulia machine ICU
That in red is most important of all, if at all is true!:smile-big::smile-big::smile-big:Mdau wa Tabora amenipasha kuwa Sitta anaelekea kushinda kwa Kishindo Urambo mashariki, Prof. Kapuya hali yake mbaya huko Kaliua ana mchuano mkali na CHADEMA, Rage anaelekea kushinda kwa kishindo Tabora mjini, Rostam anapumulia machine ICU
Hiyo taito rekebisha kidogo manake umeandika lipumba badala ya kapuya!