kata ya mwakibete mbeya mjini:
slaa 3,564
kikwete 950
diwani ameshatangazwa......chadema
Wewe ni "We can" kweli au vipi?
Hakuna kuchakachua baada ya matokeo kutangazwa.....................
hapo umesema jambo ... kule oysterbay kwa mafisadi na kule makumbusho, ile lead ya jk imefutwa kishenzi!!!
Mimi bado namuunga mkono yule jamaa aliyetuma post akasema mikoa yenye mafala wengi ndiyo pekee wanaoweza kumuunga mkono jk, na pia ndiwo wanaongoza kwa umasikini ktk nchi hii, angalia MTWARA, LINDI SINGIDA TANGA, Ina maabunuasi tu, japokua mikoa hiyo wamejaliwa kila kitu na kikubwa zaid wana bahari na kila aina ya maliasili lakini ni kama wako ktk karne ya 15, jamani tembeeni mjionee,
kata ya mwakibete mbeya mjini:
slaa 3,564
kikwete 950
diwani ameshatangazwa......chadema
kata ya mwakibete mbeya mjini:
slaa 3,564
kikwete 950
diwani ameshatangazwa......chadema
Mimi bado namuunga mkono yule jamaa aliyetuma post akasema mikoa yenye mafala wengi ndiyo pekee wanaoweza kumuunga mkono jk, na pia ndiwo wanaongoza kwa umasikini ktk nchi hii, angalia MTWARA, LINDI SINGIDA TANGA, Ina maabunuasi tu, japokua mikoa hiyo wamejaliwa kila kitu na kikubwa zaid wana bahari na kila aina ya maliasili lakini ni kama wako ktk karne ya 15, jamani tembeeni mjionee,
WE MAJOR SHIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII ANGALIA MANENO YAKO. HUJUI HUKO NDO ANAKO TOKA FIRST LADY!!!!!!!!!!!!! nAYE NI ****"****"" U KAPIGA KULA KWA KUMSAPORT SLAAAAAMimi bado namuunga mkono yule jamaa aliyetuma post akasema mikoa yenye mafala wengi ndiyo pekee wanaoweza kumuunga mkono jk, na pia ndiwo wanaongoza kwa umasikini ktk nchi hii, angalia MTWARA, LINDI SINGIDA TANGA, Ina maabunuasi tu, japokua mikoa hiyo wamejaliwa kila kitu na kikubwa zaid wana bahari na kila aina ya maliasili lakini ni kama wako ktk karne ya 15, jamani tembeeni mjionee,