Indume
Member
- Apr 11, 2011
- 81
- 37
Nipo nafuatilia kwa kina, Tume ya Uchaguzi Kenya imeanza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi LAKINI wamesitisha zoezi la kuendelea kutangaza hadi kesho saa 5 asubuhi. Wakati matokeo ya vituo mbalimbali yanatangazwa Kenyata alikuwa anaongoza akifuatiwa kwa karibu na Odinga.
Kwa namna inavyoonekana kusitisha zoezi kumtangaza mshindi nadhani pia wamehofia usalama wa raia maana hata wakati wanaendelea kutangaza wajumbe wa Tume walikuwa wanazomewa na wengine walionekana kuyakubali matokeo. Hebu tusubiri hadi jumamosi saa 5 tumsikie Rais mpya wa Kenya.
Kwa namna inavyoonekana kusitisha zoezi kumtangaza mshindi nadhani pia wamehofia usalama wa raia maana hata wakati wanaendelea kutangaza wajumbe wa Tume walikuwa wanazomewa na wengine walionekana kuyakubali matokeo. Hebu tusubiri hadi jumamosi saa 5 tumsikie Rais mpya wa Kenya.