matokeo usaili wa DIT.

Mwamatandala

Member
Joined
Jul 17, 2009
Posts
44
Reaction score
3
wanajamii ninauliza kama kuna aliyeitwa baada ya ule usaili wa DIT kwa graduate wa ICT, mwenye taarifa atajuze hapa jamvini.
 
Kaka funguka ndugu yangu, hapa kuna watu wanapambana kutafuta kazi na wengine wanapambana kupata vyuo.Sasa unamaanisha kazi ya IT Administrator iliyotangazwa kupitia Sevretariat ya Ajira au unazungumzia usaili wa kujiunga na chuo kwa ajili ya masomo ya undergraduate?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…