Matokeo wizara ya afya yametoka.

Jamani wengine roho zetu zipo juu sana
maana mwaka jana niliomba na sikupata japo result zangu zilikuwa:
phys-C
chemistry-C
biology-B
maths-D
english-C

sijajua labda matokeo yangu ndo hayaridhishi?
Maana hata uwezo wetu ni duni na nna wadogo zangu wanahitaji kusoma pia kiasi cha kwamba nikikosa mwelekeo wangu wa elimu ndio unakuwa umeishia hapo kwa maana nimemaliza 2008 kidato cha nne na nilivyosikia ndio mwaka wetu wa mwisho ku apply tuliomaliza mwaka huo na wanavyozidi kuchelewesha ndivyo ninazidi kuugua sijui hatma yangu nini??
 
Mnaotoa Taarifa Jaribuni Kutoa Za Kweli,maana Mnaweza Kufanya Watu Kufa Pressure.
 

mh kuna tetes ya kwamba et .. Majna tayar yamepangwa ila bdo kutolewa rasm na pia .... Mh hv tz jaman inaendelea au inarudi nyuma kimaendeleo? 0714419691
 
Jamani mbona inanichanganya! Ooh mara j.3 wizara wataachia majina ,mara majina yameshapangwa dah! Jamani tunahitaji ukweli na sio utani.
 
Nasikia matokeo n wiki ijayo ndugu !nimepenyezewa na daktari m1 hv na kuanza n kat ya tarh 4 wa kumi na m1 hv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…