Tumbo Tumbo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 1,278
- 1,553
Manchester United wamemtimua kocha wao Mourinho kwa kufungwa goli 3 kwa 1 na Liverpool.
Lakini Liverpool hao hao wakawafunga Arsenal goli 4 kwa 1 lakini huko Arsenal hakuna mgogoro na wala habari ya kumtimua kocha.
Nyie watu wa michezo , hii imekaaje ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini Liverpool hao hao wakawafunga Arsenal goli 4 kwa 1 lakini huko Arsenal hakuna mgogoro na wala habari ya kumtimua kocha.
Nyie watu wa michezo , hii imekaaje ?
Sent using Jamii Forums mobile app