Matokeo Ya Arsenal V Liverpool

Matokeo Ya Arsenal V Liverpool

Tumbo Tumbo

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
1,278
Reaction score
1,553
Manchester United wamemtimua kocha wao Mourinho kwa kufungwa goli 3 kwa 1 na Liverpool.
Lakini Liverpool hao hao wakawafunga Arsenal goli 4 kwa 1 lakini huko Arsenal hakuna mgogoro na wala habari ya kumtimua kocha.
Nyie watu wa michezo , hii imekaaje ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushasema hawa ni arsenal na hawa ni man
U..afj arsenal alikufa tano..
 
Manchester United wamemtimua kocha wao Mourinho kwa kufungwa goli 3 kwa 1 na Liverpool.
Lakini Liverpool hao hao wakawafunga Arsenal goli 4 kwa 1 lakini huko Arsenal hakuna mgogoro na wala habari ya kumtimua kocha.
Nyie watu wa michezo , hii imekaaje ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka Unai Emry afukuzwe?
 
Hatuna tabia hizo sisi. Tutaanza kufikiria hillo la kumtimua angalau akikaa miaka 10+ tukaona mwemendo wake
 
Back
Top Bottom