Malunde-Malundi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 1,288
- 131
Update tupate kuweka comments naona umeweka ushabiki; kampeni ziliisha jana sasa tunapokea matokeoHayo ya mjini kaka maeneo ya upanga dsm oysterbay masaki na msasani ccm imewavuruga si mchecho ina maana huku hakuna yesu wa chadema?
Jamani, it is still too close to call...................I am a bit disappointed because Mwanza was supposed to be a Chadema citadel............But at least no theft, so far.........................
Mambo bado mkuu usikate tamaa hivyo!Jamani, it is still too close to call...................I am a bit disappointed because Mwanza was supposed to be a Chadema citadel............But at least no theft, so far.........................
Kaka tupe matokeo kama unaangalia wengine tupo mbali na TVChannel ten wanarusha matokea ya baadhi ya vituo vya Temeke,
Jamani, it is still too close to call...................I am a bit disappointed because Mwanza was supposed to be a Chadema citadel............But at least no theft, so far.........................
Mkuu niliomna hilo mapema. Tusaidieni badiItafutwe namna nzuri zaidi ya ku-post haya matokeo. Namna nyingine itakuwa mafuriko ya mabandiko na mvurugano.
Kwa hali ninayoiona hapa kwenye jimbo la Zamani la Waziri wa magereza (mbunge mstaafu Masha-lah), naona hata yeye mwenyewe keshakata tamaa.
Ktk jimbo hili la Mnyama wa Ghana Mash-lah hana chake. lakini watu wanadai kwa kuwa sisiemu ni mabingwa wa kuchakachua lolote laweza kutokea.
wana JF mnasemaje??
Kwa hali ninayoiona hapa kwenye jimbo la Zamani la Waziri wa magereza (mbunge mstaafu Masha-lah), naona hata yeye mwenyewe keshakata tamaa.
Ktk jimbo hili la Mnyama wa Ghana Mash-lah hana chake. lakini watu wanadai kwa kuwa sisiemu ni mabingwa wa kuchakachua lolote laweza kutokea.
wana JF mnasemaje??
Kwa hali ninayoiona hapa kwenye jimbo la Zamani la Waziri wa magereza (mbunge mstaafu Masha-lah), naona hata yeye mwenyewe keshakata tamaa.
Ktk jimbo hili la Mnyama wa Ghana Mash-lah hana chake. lakini watu wanadai kwa kuwa sisiemu ni mabingwa wa kuchakachua lolote laweza kutokea.
wana JF mnasemaje??