Karibuni masijala
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 409
- 135
Wanajamvi fikra huru.
tunakazana kuhamasishwa Mlima kilimanjaro uingie kwenye majabu ya dunia badala ya kuingiza matokeo ya darasa la saba ambapo wamefanya mtihani wa masomo 5 Waziri katangaza wenye D daraja lenye maksi 50 mpaka 100 nao wamefauli hiyo ina maana waliopata 10 mpaka 20 kwa kila somo mwaka huu wamefaulu. Wakati mwaka jana wenye jumla ya alama 150 waliochaguliwa 5200 iligundulika na Mulugo Strategy hawajui kusoma na kuandika je hawa wa alama 50 ndio itakuwa maajabu huko sekondari.
Siasa za Tanzania zinaiweka elimu yetu kuwa na sifa za kuingizwa kwenye MAAJABU ya Dunia na hii na kutokana na Elimu kuongozwa na siasa badala Elimu kuiongoza Siasa ukitaka kugundua hilo angalia watalamu mpaka wenye phd, Prof. na Wanasiasa nani anapewa nafasi kwenye mamuzi muhimu kama ya elimu.
Wanajamvi Vp tukaona umuhimu wa kupigia KURA Matokeo ya Darasa la 7 kuingizwa kwenye Maajabu ya Dunia badala ya Mt Kilimanjaro maana Kiwango cha ufaulu kwa miaka 7 na mwaka huu imelazimu Kuambiwa wenye JUMLA ya 50 wamefaulu
tunakazana kuhamasishwa Mlima kilimanjaro uingie kwenye majabu ya dunia badala ya kuingiza matokeo ya darasa la saba ambapo wamefanya mtihani wa masomo 5 Waziri katangaza wenye D daraja lenye maksi 50 mpaka 100 nao wamefauli hiyo ina maana waliopata 10 mpaka 20 kwa kila somo mwaka huu wamefaulu. Wakati mwaka jana wenye jumla ya alama 150 waliochaguliwa 5200 iligundulika na Mulugo Strategy hawajui kusoma na kuandika je hawa wa alama 50 ndio itakuwa maajabu huko sekondari.
Siasa za Tanzania zinaiweka elimu yetu kuwa na sifa za kuingizwa kwenye MAAJABU ya Dunia na hii na kutokana na Elimu kuongozwa na siasa badala Elimu kuiongoza Siasa ukitaka kugundua hilo angalia watalamu mpaka wenye phd, Prof. na Wanasiasa nani anapewa nafasi kwenye mamuzi muhimu kama ya elimu.
Wanajamvi Vp tukaona umuhimu wa kupigia KURA Matokeo ya Darasa la 7 kuingizwa kwenye Maajabu ya Dunia badala ya Mt Kilimanjaro maana Kiwango cha ufaulu kwa miaka 7 na mwaka huu imelazimu Kuambiwa wenye JUMLA ya 50 wamefaulu