Matokeo ya f4, kuutikisa muungano?

Matokeo ya f4, kuutikisa muungano?

Status
Not open for further replies.

sisi kwa sisi

Senior Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
119
Reaction score
2
Mchezo wenyewe ni huu.
Shule ya Hamamni na Haile salas ,Bembela zipo pua na Mdomo.Ukisema yeye anakusikia.
Shule hizi mbili hazipugui wanafunzi 500 kila moja.
Hamamni asilimia 90 wamezuiwa matokeo kwa kisingio cha kuiba mtihani.
Haile hakuna aliezuliwa hata mmoja isipokuwa zimetawala F na D.
Swala la kujiuliza.
Hawa kutwa wapo pamoja, wanafanya discusion pamoja na cellular phone zinazofanana.
kama mtihani umevuja siamini waupate wa Hamamni tu.
Sawa na Jangombe na Kidoko chekundu, ni shule pua na mdomo. Moja with held imeongaza nyengine F na D zimeongeza hakuna With held.

ukiangalia hata watoto wanaoishi nyumba moja matokeo yao unaweza ukacheka, mmoja with held mmoja ana F .Kama wamelala nao mtihani ni vigumu haya kutokea.
SHule nyingi Zanzibar Zimeingia kyk hilo.
Hapa sio bure
 
hizo unazotoa ni sababu za kijinga kabisa! hope utoto bado unakusumbua.
 
Si bure ipo namna au wamekasirika kisa cha kuongezewa eneo la bahari na wazanzibari kulitoa swala la mafuta kwenye muungano?basi suluhisho ni kuvunja muungano ili tupumzike.heh!muungano mashaka matupu.
 
hebu acheni upuuuuuuz,issue ka hyo huwez kuihusisha na uzanzibar na utanganyika, hv huyu aliyeazish hich kitu ni muislam eeenh.? yan wazanzibar na waislam wakwanza kulalamika bila msingi kumbe wao ndo wanafaidika, piga chini muungano, piga chini toc na mahakama ya kadhi:ballchain:
 
wazenji wengi wamefeli sijui kwa nini
 
hebu acheni upuuuuuuz,issue ka hyo huwez kuihusisha na uzanzibar na utanganyika, hv huyu aliyeazish hich kitu ni muislam eeenh.? yan wazanzibar na waislam wakwanza kulalamika bila msingi kumbe wao ndo wanafaidika, piga chini muungano, piga chini toc na mahakama ya kadhi:ballchain:

Oyaa toa udini hapa,hao wanalalamika ni wazanzibar sio kisa waislam,mbona sisi waislam wa bara tupo kimya,jibu hoja bila kuingiza udini hapa,

Na nyinyi wazenj mmezidi kulalamika sana,nyie sinchi kwanini msisahihishe mitihani yenu wenyewe?mwanikera sana kulalama tu,tukiwaambia vunjeni muungano mnajishaua tu,
 
someni hacha sababu zisizo na mashiko..kwani mkijitenga mtafaulu kuliko nani? Alla!
 
Unapoamua kuanzisha uzi hakikisha umefanya utafiti wa kutosha. Sababu za kufuta matokeo ya baadhi ya wanafunzi sio kuvuja kwa mitihani ni udanganyifu katika vyumba vya mitihani. Na hii ndio maana unakuta hata watoto wanaoishi nyumba moja lakini wanasoma shule tofauti mmoja anafutiwa na mwingine anapata matokeo yake kwa sababu udanganyifu umetokea ndani ya chumba cha mtihani.

Sasa mkuu ulitegemea lile darasa zima lililoandika "Badala ya Cheque andika check" kwenye mtihani nao wapewe matokeo tu ili kulinda muungano. Inawezekana na wewe ni mmoja kati ya hao waanga ushauri wangu kwako ni kuwa jipange upya kwa hiyo miaka mitatu mliyopewa kabla ya kurudia paper au kama namna gani piga mbizi!
 
wazenji wengi wamefeli sijui kwa nini

Jibu liko wazi, ni kwamba wameweka umuhimu kwenye mafundisho ya mtume kuliko ya dunia. Waislamu wote wanafundishwa na mtume wao kuwa dunia sio duara, sasa likija swali la Geography la kutoa evidence kuwa dunia ni duara unafikiri wataandika nini wakati maneno ya mtume ndio sahihi kwao!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mchezo wenyewe ni huu.
Shule ya Hamamni na Haile salas ,Bembela zipo pua na Mdomo.Ukisema yeye anakusikia.
Shule hizi mbili hazipugui wanafunzi 500 kila moja.
Hamamni asilimia 90 wamezuiwa matokeo kwa kisingio cha kuiba mtihani.
Haile hakuna aliezuliwa hata mmoja isipokuwa zimetawala F na D.
Swala la kujiuliza.
Hawa kutwa wapo pamoja, wanafanya discusion pamoja na cellular phone zinazofanana.
kama mtihani umevuja siamini waupate wa Hamamni tu.
Sawa na Jangombe na Kidoko chekundu, ni shule pua na mdomo. Moja with held imeongaza nyengine F na D zimeongeza hakuna With held.

ukiangalia hata watoto wanaoishi nyumba moja matokeo yao unaweza ukacheka, mmoja with held mmoja ana F .Kama wamelala nao mtihani ni vigumu haya kutokea.
SHule nyingi Zanzibar Zimeingia kyk hilo.
Hapa sio bure
Fanya utafiti kabla ya kuweka upupu wako hapa wewe uliambiwa kuwa udanganyifu ni kuvuja kwa mtihani tu?? Hao mamluki mnaowakodisha kuwafanyia mtihani mnadhani hamtabainika?? Mtu mmoja ana miandiko 7 katika masomo 7 aliyofanya haddi muandiko wa kike kwenye karatasi za wanaume?? Acheni kuchakachua elimu someni hakuna njia ya mkato.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom