Matokeo ya form 2, 2015

Unajenga nyuma ya udongo kwenye renta unawek zege na nondo kubwa kwa nn nyumba isianguke tuuuu.Namaanish kuwa primary anafundishwa kiswahil akifik secondary anafundishw kwa kiingerez ww umadhan nn kitatokea hapo?think twice
 
Dark City
Jana mwanangu ananipigia, anasema mama nimepata GPA ya 5 nikasema ama kweli ni BRN hadi form two majibu yanakuwa in form of GPA

Mzima lakini Babu DC
 
Last edited by a moderator:
Tujipongeze kwa ufaulu kuongezeka by 3% due to knowledge gain au ni kupanua magoli kwa hiyo kila mmoja anaweza kufunga as long as anashoot directly to the two goal posts!(Big Results Now outcome)
Asante sana
 
Tujipongeze kwa ufaulu kuongezeka by 3% due to knowledge gain au ni kupanua magoli kwa hiyo kila mmoja anaweza kufunga as long as anashoot directly to the two goal posts!(Big Results Now outcome)

Shukrani
 
Ukiangalia juu juu, matokeo haya ni mazuri. Lakini under close inspection, bado kuna shida. Pamoja na GPA na "kupanua goli", bado wanafunzi wengi hasa wa hizi shule zinazoitwa za kata, kwa asilimia kubwa wamefeli.

Tatizo huu mfumo wa GPA, ni kuwa, yule atakaye fail ni yule ambaye hakuhudhuria kabisa vinginevyo haiwezekani kufeli.
 
Tujipongeze kwa ufaulu kuongezeka by 3% due to knowledge gain au ni kupanua magoli kwa hiyo kila mmoja anaweza kufunga as long as anashoot directly to the two goal posts!(Big Results Now outcome)

Mhh afadhali ili watoto wetu wa shule za kata wafaulu kwani tulikuwa na vilio mtaani ila kwa sasa ni shumbwela tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…